Marekani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 73:
Eneo hilo lagawiwa katikati na [[mto]] mkubwa [[Mississippi (mto)|Mississippi]] unaoanza mpakani kwa Kanada na kuishia katika [[Ghuba ya Meksiko]].
==GDP==
'''Billioni 20.10 trillion dollars {{increase}}'''▼
=== Alaska ===
Jimbo la [[Alaska]] liko pia kwenye bara la Amerika Kaskazini upande wa kaskazini kutoka Kanada kuelekea [[Urusi]], lakini halipakani na jimbo lolote la Marekani.
=== Hawaii ===
[[Funguvisiwa]] ya [[Hawaii]] ni jimbo la visiwani katika bahari ya Pasifiki. Ni jimbo la 50 na la mwisho mpaka sasa.
=== Visiwa vya ng'ambo vya Marekani ===
[[Maeneo ya ng'ambo ya Marekani]] ni visiwa kadhaa ambavyo ni maeneo ya Kimarekani ingawa si sehemu ya jimbo lolote. Zamani yalikuwa kama ma[[koloni]] hata kama Marekani ilidai kutokuwa na [[ukoloni]]. Siku hizi maeneo haya yamepata viwango mbalimbali vya kujitawala. Kwa kawaida maeneo haya huchagua pia wawakilishi kwa ajili ya [[bunge]] la Marekani lakini wawakilishi hao si wabunge wa kawaida, bali wana haki ya kusema na kushauri tu bila [[haki ya kupiga kura]].
|