Nile : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 35:
[[Picha:Nile composite NASA.jpg|left|thumb|160px|Picha ya Nile kutoka chombo cha angani - (Shukrani kwa [[NASA]]) ]]
'''Mto
[[Beseni]]
== Jina ==
"Nile" au "Naili" ni [[umbo]] la [[Kiingereza]] la [[jina]] la mto
[[Wamisri wa Kale]] waliita mto huu kwa jina ''Ḥ'pī'' au '' == Chanzo cha Nile ==
Nile ina [[Chanzo (mto)|vyanzo]] viwili, yaani
Nile ina vyanzo viwili ndivyo Nile yenyewe (inaitwa pia Nile nyeupe) inayotoka katika [[Ziwa Viktoria Nyanza]] na [[Nile ya buluu]] inayotoka katika [[Ziwa Tana]]. Majina haya ya "nyeupe" na "buluu" yana asili yao katika [[mji]] wa [[Khartoum]] ambako mito yote miwili inaunganika ilhali kila mmoja una [[rangi]] tofauti kutokana na [[udongo]] tofauti uliotia rangi yake kwenye maji hayo.▼
* Nile yenyewe (inaitwa pia [[Nile nyeupe]]) inayotoka katika [[Ziwa Viktoria Nyanza]] na
* [[Nile ya buluu]] inayotoka katika [[Ziwa Tana]].
▲
Mkono mwingine wa Nile unaanza [[Ethiopia]] ukiitwa [[Abbai]] au [[Nile ya Buluu]]: unatoka katika [[Ziwa Tana]].
Hakuna mapatano kabisa Nile inaanzia wapi. Kawaida ya [[waandishi]] [[Waingereza]] ni kuhesabu kuanzia Ziwa Viktoria; waandishi wa ma[[taifa]] mengine huwa wanaweza
== Majina ya Nile ==
Majina ya sehemu ya mto kuanzia Ziwa Viktoria hadi Khartoum ni kama yafuatayo:
* [[Nile ya Viktoria]] kuanzia [[Jinja]] inapotoka katika Ziwa Viktoria kwa km 500 hadi [[Ziwa Albert (Afrika)|Ziwa Albert]]
* [[Nile ya Albert]] kuanzia Ziwa Albert hadi mpaka wa Sudan Kusini
* ndani ya Sudan Kusini mto huitwa [[Bahr al-Jabal]] (mto wa mlimani) hadi kupokea [[tawimto]]
* kwa sababu ya rangi wakati wa [[mvua]] yake kutokana na udongo katika maji jina linakuwa [[Bahr al-Abyad]] kuanzia Bahr al-Ghazal hadi Khartoum
* kuanzia Khartoum jina
==Matumizi wa maji ya Nile==
Tangu [[milenia]] kadhaa maji ya Nile yamekuwa msingi wa [[maisha]] yote nchini [[Misri]] na pia kwa sehemu kubwa ya nchi ya [[Sudan]]
Katika [[miaka ya 1920]] [[Uingereza]] kama [[mtawala]] [[mkoloni]] wa Sudan na Misri ulikuwa na [[majadiliano]] juu ya [[ugawaji]] wa maji ya mto na kufikia [[mapatano juu ya matumizi ya maji ya mto Nile ya 1929]].
Hadi leo Misri inadai ya kwamba mapatanao yale yanakataa [[ujenzi]] wa [[malambo]] na kuanzishwa kwa miradi ya [[umwagiliaji]] inayotumia maji ya Nile bila [[kibali]] cha [[serikali]] yake. Hapa Misri inadai ya kwamba nchi zote zilizokuwa ma[[koloni]] ya Uingereza wakati ule zinafungwa na [[mapatano]] ya [[mwaka]] [[1929]] na hizi ni pamoja na Sudan, Uganda, Kenya, Tanzania, halafu pia Ethiopia iliyopatana na Uingereza wakati ule. Nchi nyingine hazikubali madai hayo,
==Tazama pia==
Line 75 ⟶ 81:
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Nile| ]]▼
[[Jamii:Mito ya Afrika]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Mito ya Sudan]]
[[Jamii:Mito ya Misri]]
▲[[Jamii:Nile| ]]
|