Tetemeko la ardhi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Removed redirect to Wikipedia:Tetemeko la ardhi
Tag: Removed redirect
Mstari 7:
[[Bahari|Baharini]] tetemeko laweza kusababisha [[tsunami]], yaani [[wimbi]] kubwa lenye hatari pale linapofika [[pwani]].
 
Tetemeko la ardhi lenyewe kwa kawaida haliui au kujeruhi watu bali matokeo yake ndiyo. Katika [[Mazingira|mazingira]] ya kienyeji hata zilizala kali inaweza kupita bila hasara kubwa; [[nyumba]] za kienyeji zilijengwa kwa kutumia vifaa asilia vyepesi. Mfano wa kisasa ni [[tetemeko la ardhi la Kagera 2016]] lililotokeaambalo [[Shamba|mashambani]]kitovu chake na mishtuko mikali ililotokea sehemu ya vijijini, upande wa [[kaskazini]] wa [[kata]] ya [[Nsunga]], [[Wilaya ya Missenyi]], lakini waathiriwa wengi waliripotiwa kwa [[umbali]] wa [[kilomita]] 60-70 [[Mji|mjini]] [[Bukoba]] kwenyepenye majengo ya kisasamakubwa.
 
===Kuharibika kwa majengo===