Ozoni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Ozoni''' (
==Tabia==
Inaonekana kama [[gesi]] ya [[buluu]] yenye [[harufu]] kali. Inatokea katika [[Tabaka|matabaka]] ya juu ya [[angahewa]]
:<math>\mathrm{3 \; O_2 \longrightarrow 2 \; O_3}</math>
Inatokea pia katika [[mazingira]] ya [[mashine]] kama ya [[fotokopi]] zinazotumia [[volteji]] ya juu.
Si molekuli thabiti,
==Tabaka la ozoni==
Ozoni hupatikana kwa viwango vidogo vya [[ppm]] 0.6 katika angahewa. Kiasi kikubwa kipo kwenye [[tabakastrato]] baina ya [[kilomita]] 10 hadi 50 juu ya uso wa ardhi. Tabaka hili lenye ozoni linafyonza [[asilimia]] kubwa ya [[urujuanimno|mnururisho wa urujuanimno]] (
==Athari kwa viumbehai==
Katika matabaka ya chini ya angahewa ozoni ni [[sumu]] kwa viumbehai ikitokea kwa viwango juu ya ppm 0.1. Kwa [[binadamu]] inaweza kukera [[pua]] na [[koo]] pamoja na kuleta [[kichefuchefu]]. Kuathiriwa kwa muda mrefu kunaweza kuleta kufura kwa [[mapafu]]<ref>[https://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK208281/ Ozone backround information, Effects on humans], tovuti ya National Center for Biotechnology Information, iliangaliwa Mchi 2019</ref>.
Ppm 0.100 ni kiwango cha juu kinachoruhusiwa ndani ya
==Matumizi==
Kutokana na nguvu yake ya kuoksidisha, ozoni hutumiwa kwa madhumuni mbalimbali:
* kusafisha [[maji]]: ozoni inaua [[bakteria]] na [[algae]] hivyo hutumiwa katika mchakato wa kusafisha maji kwa matumizi ya viwandani na maji ya kunywa
* kuua
* [[uzalishaji]] wa [[madawa]]: ozoni hutumiwa katika michakato ya [[Kemia|kikemia
==Marejeo==
<references/>
{{mbegu-kemia}}
[[Jamii:Kemia]]
|