Bibi Titi Mohammed : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Titi Mohamed.JPG|thumb|'''Waliosimama wa pili kushoto ni Ali Msham (Mwenyekiti wa Tawi la Magomeni Mapipa) na wa nne ni Bi. Khadija biti Jaffar wa tano Bi. Mtendwa biti Iddi Sudi, wa sita biti Feruzi wa saba Mama Tindwa waliokaa wa kwanza ni Mzee Mwinjuma Mwinyikambi na wa tatu ni Bi. Titi Mohamed na pembeni ni mwanae.''']]▼
{| class="infobox" style="width: 30%; text-align: left; font-size: 90%" cellspacing="2"
|-
Line 16 ⟶ 15:
|Novemba 5, 2000
|}
▲[[Picha:Titi Mohamed.JPG|thumb|
'''Bibi Titi Mohammed''' ([[1926]] - [[5 Novemba]] [[2000]]) alikuwa mmoja wa [[wanawake]] wa kwanza mzalendo kushika nafasi za [[ubunge]] na [[uwaziri]] nchini [[Tanzania]]. Pia alikuwa kati ya wanawake wa kwanza kujiunga na harakati za
Mwaka [[1969]] Bibi Titi Mohammed alikamatwa na mwaka uliofuata alifikishwa [[Mahakama|mahakamani]] kwa kosa la kula [[njama]] ya kutaka kupindua [[serikali]]. Katika [[kesi]] hiyo, Bibi Titi alikuwa ni mwanamke pekee katika washtakiwa 7. Baada ya kesi hiyo kusikilizwa alipatikana na hatia na kuhukumiwa [[kifungo cha maisha]]. Hata hivyo, mwaka [[1972]] alisamehewa na rais [[Julius Nyerere]].
Juu ya kutolewa kwake, Mohammed aliongoza [[maisha]] yake akiwa mpweke. [[Mume]] wake alimtelekeza wakati wa kesi, ushirika wake wa kisiasa ukanyang'anywa, na [[Rafiki|marafiki]] zake wengi
Mnamo mwaka wa [[1991]], wakati [[Tanzania]] ikisherekea miaka 30 ya uhuru, Bibi Titi ameonekana kwenye
▲Juu ya kutolewa kwake, Mohammed aliongoza maisha yake akiwa mpweke. Mume wake alimtelekeza wakati wa kesi, ushirika wake wa kisiasa ukanyang'anywa, na marafiki zake wengi wakamlani.
▲Mnamo mwaka wa 1991, wakati [[Tanzania]] ikisherekea miaka 30 ya uhuru, Bibi Titi ameonekana kwenye makaratasi ya chama tawala kama "Shujaa wa Kike Aliyepigania Uhuru".
Moja kati ya [[Barabara|mabarabara]] makubwa ya
▲Mnamo tar. [[5 Novemba]] [[2000]] Mohammed amekufa kwenye hospitali ya Net Care Hospital mjini [[Johannesburg]] ambapo alikuwa akitibiwa.<ref>[http://www.hartford-hwp.com/archives/36/342.html Makala kuhusu kufa kwa Mpigania Uhuru Bi. Titi Mohammed]</ref>
▲Moja kati ya mabarabara makubwa ya mjini [[Dar es Salaam]] yamepewa jina la Mohammed kwa heshima ya mafaniko makubwa aliyoyafanya wakati wa mbio za kutafuta uhuru wa Mtanzania.
== Marejeo ==
Line 35 ⟶ 34:
* http://www.gwsafrica.org/knowledge/bibi.html
* http://www.nationaudio.com/News/EastAfrican/081199/Features/PA3.html
{{Mbegu-mwanasiasa}}
{{DEFAULTSORT:Bibi Titi Mohammed}}
[[Jamii:Waliofariki 2000]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:
[[Jamii:Watu kutoka Dar es Salaam]]
▲[[Jamii:Waliofariki 2000]]
▲[[Jamii: Wanawake wa Tanzania]]
|