Kundinyota : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 19:
 
== Mfano wa Jabari (''Orion'') ==
Picha za kundinyota ya la


[[Jabari (kundinyota)|Jabari]] (''Orion'') katika makala hii zinaonyesha njia kuanzia kutazama nyota angani hadi kufikia wazo la kundinyota. <br/>
 
1. Jabari inaonekana vizuri kwa sababu kwanza, kuna nyota tatu zinazokaa katika mstari. Juu yake upande wa kushoto kidogo ni nyota mbili zinazong'aa sana. Chini ya mstari wa nyota tatu kuna nyota mbili au tatu (inategemea ubora wa macho) za karibu sana. Halafu chini yake tena kuna nyota mbili za mbali kidogo zinazong'aa na kufanana na zile mbili za juu. Kama giza linaongezeka, nyota zaidi zinazoonekana.<br/>
Line 36 ⟶ 39:
Baada ya uenezaji wa mataifa ya Ulaya funiani kupitia wapelelezi kama [[Kristoforo Kolumbus]], [[Vasco da Gama]], [[Ferdinand Magellan]] na [[Pieter Dirkszoon Keyser]] wanaastronomia wa Ulaya walipokea taarifa na ramani za nyota za nusutufe ya kusini ya dunia na kuongeza kundinyota kwa ajili ya nyota ambazo hazikujulikana kwao bado. Hapo alikuwa hasa Mholanzi [[Petrus Plancius]] aliyetangaza kundinyota mpya 12 kwenye [[globu ya nyota]] yake.
 
Mnamo mwaka 1603 Mjerumani [[Johann Bayer]] alibuni mfumo wa kutaja nyota ambao kimsingi unaendelea kutumiwa hadi leo<ref>[http://www.ianridpath.com/startales/bayer%20southern.htm Johann Bayer’s southern star chart ]</ref>. Alipanga nyota zilizoonekana na alizojua kwa kundinyota ambakoambalo zimo halafu aliongeza herufi kwa kila nyota ndani ya kundi kufuatana mwangaza. Kwa hiyo nyota angavu zaidi katika kundinyota ilipewalilipewa [[herufi ya Kigiriki]] [[Alfa]] (<big>α</big>), iliyofuata kwa mwangaza [[Beta]] (<big>β</big>) na kadhalika. Mfumo huu unajulikana kama [[majina ya Bayer]] ''([[ing.]] [[:en:Bayer designation|Bayer designations]])''
 
Bayer hakupanga ufuatano kikamilifu jinsi sisi tunavyoona mwangaza leo hii. Wakati mwingine alipanga nyota zenye mwangaza wa kufanana pamoja na kuzipa herufi kuanzia kushoto kwenda kulia au kutoka juu kwenda chini.
 
Kama kundinyota ilikuwalilikuwa na idadi kubwa ya nyota kushinda idadi ya herufi za [[alfabeti ya Kigiriki]] aliendelea kutumia [[herufi za Kilatini]] kama a-b-c. Mfano mashuhuri ni nyota jirani ya jua letu katika anga la nje, [[Rijili Kantori]] (Alfa Centauri) aliyoiona kama nyota angavu zaidi katika nyota kwenye kundinyota ya la
[[Kantarusi]] ([[:en:Centaurus]]).
[[Picha:Constellations ecliptic equirectangular plot.svg|400px|thumb|Mpangilio wa anga lote kwa kundinyota kufuatana na Delporte na [[Ukia]]]].
 
Line 46 ⟶ 50:
 
==Matumizi ya kundinyota katika astronomia==
Astronomia imeshatambua ya kwamba kundinyota hazipohalipo hali halisi ni namna ya kupanga nyota tu tukitazama kutoka kwetu duniani; hali halisi hazipatikani mahali pamoja au pa karibu katika [[anga ya nje]]. Hata hivyo ni msaada wa kutaja eneo fulani kwenye anga tunayoona. Kwa sababu hiyo [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia]] umetambua kundinyota 88 zinazokubaliwa kama msaada wa kutaja nyota. Sayansi ya [[astronomia]] inatumia kundinyota kama mbinu ya kupata ramani ya nyota jinsi zinavyoonekana angani. Majina ya nyota zinazoonekana hutajwa kufuatana na eneo la kundinyota zinapoonekana halafu kwa kuongeza [[herufi za kigiriki]].
 
Mfano mashuhuri ni nyota iliyo karibu na jua letu katika [[anga ya ulimwengu]] ambayo ni [[Rijili Kantori]] hutajwa kama "[[Alpha Centauri]]" maana ni nyota iliyohesabiwa kama nyota ya kwanza katika eneo la kundinyota "Centaurus" (swa. [[Kantarusi (kundinyota)|Kantarusi]]).