Tinini (kundinyota) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Image: Tinini Draco.png |thumb|right|400px|Nyota za kundinyota Tinini (Draco) katika sehemu yaozao ya angani]]
[[Picha:Draco IAU.svg|400px|thumb|Ramani ya Tinini-Draco, kwa macho ya mtazamaji kwenye [[nusutufe ya kaskazini]] ya Dunia]]
 
Mstari 7:
Tinini ni jina lililotumiwa tangu zamani na mabaharia Waswahili waliojua njia yao baharini wakati wa usiku wakiangalia nyota<ref>ling. Knappert 1993</ref>. Jina hili waliwahi kupokea kutoka Waarabu walioiita <big>التنين</big> ''al-tinin'' na hili ni tafsiri ya [[Kigiriki]] Δράκων ''drakoon'' (Draco kwa tahajia ya [[Kilatini]]).
 
Draco ilikuwa moja ya kundinyotamakundinyota 48 zilizoorodheshwayaliyoorodheshwa na [[Klaudio Ptolemaio]]. Ilipokelewa na [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia]] katika orodha ya kundinyotamakundinyota 88 zaya kisasa iliyotolewa mwaka 1930. <ref>[https://www.iau.org/public/themes/constellations/ The Constellations], tovuti ya International Astronomical Union , iliangaliwa Oktoba 2017</ref> Kifupi rasmi ni ‘Dra’.<ref>[http://www.ianridpath.com/iaulist1.htm "The IAU list of the 88 constellations and their abbreviations" ya mwaka 1922], kwenye tovuti ya Ian Ridpath, iliangaliwa Mei 2017</ref>
 
Katika mitholojia ya Ulaya na [[Mashariki ya Kati]] Tinini au [[dragoni]] ni mnyama mkubwa mwenye umbo kama nyoka au mjusi, akiwa na miguu minne na mabawa mawili anayeweza kutema moto. Katika [[mitholojia ya Kigiriki]] ni [[Herakles]] alipambana pia na dragoni . Kundinyota Rakisi inayolinganalinalolingana na ilelile ya kukumbukakumkumbuka Herakles (lat. Hercules) ikoliko jirani na Tinini (Draco).
 
==Mahali pake==
Tinini - Draco iko katika karibu na [[ncha ya anga]] ya kaskazini, hivyo inaonekana kisehemu tu katika Afrika ya Mashariki na sehemu za nyota zake huwa chini ya upeo wa macho.
Inapaka na kundinyotamakundinyota jirani zaya [[Dubu Mdogo (kundinyota)|Dubu Mdogo]] ''([[:en:Ursa Minor (constellation)|Ursa Minor]])'', [[Dubu Mkubwa (kundinyota)|Dubu Mkubwa]] ''([[:en:Ursa Major (constellation)|Ursa Major]])'', [[Bakari (kundinyota)|Bakari]] ''([[:en:Bootes (constellation)|Bootes]])'', [[Rakisi (kundinyota)|Rakisi]] ''([[:en:Hercules (constellation)|Hercules]])'', [[Kinubi (kundinyota)|Kinubi]] ''([[:en:Lyra (constellation)|Lyra]])'', [[Dajaja (kundinyota)|Dajaja]] ''([[:en:Cygnus (constellation)|Cygnus]])'' na [[Kifausi (kundinyota)|Kifausi]] ''([[:en:Cepheus (constellation)|Cepheus]])''.
 
==Nyota==
Tinini - Draco ni kundinyota kubwa yenyelenye nyota nyingi.
 
<big>γ</big> Gamma Draconis au “[[Etanin]]" ni nyota angavu zaidi. Ina [[mwangaza unaoonekana]] wa 2.2 ikuwa na umbali unaokadiriwa kuwa [[miaka ya nuru]] 148<ref>[http://www.constellation-guide.com/constellation-list/Draco-constellation/ Draco], tovuti ya Constellation Guide, iliangaliwa Oktoba 2017</ref>. Mwendo wake katika [[anga la nje]] unaelekea kwetu na katika miaka milioni 1.5 itakaribia hadi umbali wa miaka ya nuru 28 na kuwa nyota angavu kabisa angani<ref>[http://stars.astro.illinois.edu/sow/eltanin.html Eltanin (Alfa Draconis)], Tovuti ya Prof. Jim Kaler</ref>.