Alfa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 4:
Katika [[Ugiriki ya Kale]] ilihesabiwa pia kama [[namba]] "1".
 
Jinsi ilivyo kawaida na herufi mbalimbali za [[Kigiriki]] inatumiwa kama kifupi kwa ajili ya dhana mbalimbali katika [[hesabu]] na [[fisikia]]. ImejulikanaKundinyota hili limejulikana hasa kama [[jina]] la [[pembe]] ya kwanza katika [[pembetatu]].
 
Katika [[astronomia]] inatumiwa kuanza hesabu ya [[nyota]] katika [[kundinyota]]. Kwa mfano nyota yetu jirani katika [[ulimwengu]] inaitwa "[[Alfa Centauri]]". Imeitwa hivyo kwa sababu inang'aa kushinda nyota zote za kundinyota ya Centaurus. Inayofuata ni "beta Centauri" na kadhalika.