Kundinyota : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 28:
 
==Historia ya kundinyota==
[[Tamaduni]] nyingi zilipanga nyota kwa makundi. Kuna [[mapokeo]] tofautitofauti hadi leo kati ya mapokeo ya [[Ustaarabu wa magharibi|Kimagharibi]] (yaani Ulaya pamoja na nchi za Kislamu), ya [[Uhindi|Kihindi]] na ya [[Uchina|Kichina]].
 
Mpangilio unaotumiwa na [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia]] (UKIA) uliamuliwa mwaka [[1922]] kwenye msingi wa [[elimu ya nyota]] ya [[Ugiriki ya Kale]] jinsi iliyoelezwa wakati wa [[karne ya 2]] [[BK]] katika [[kitabu]] cha [[Almagesti]] cha [[Klaudio Ptolemaio]] wa [[Misri]] alimotaja kundinyotamakundinyota 48. Ptolemaio aliandika hitimisho ya [[elimu]] ya siku zake iliyoandaliwa na [[wanaastronomia]] waliomtangulia kama [[Hipparchos wa Nikaia]] na [[Eratosthenes]]. [[Wagiriki]] wenyewe waliendeleza tu elimu ya [[wataalamu]] wa [[Babeli]] waliowahi kuorodhesha nyota nyingi na kuzipanga kwa makundi.
 
Kitabu cha Ptolemaio kilifasiriwa kwa [[Kiarabu]] katika [[karne ya 9]] wakati [[Waislamu]] walitawala sehemu kubwa za nchi zenye utamaduni wa Kigiriki. naAlmagesti iliyotafsiriwa kuwailikuwa msingi kwa maendeleo ya astronomia katika ustaarabu wa Kiislamu. Kwa jumla Waislamu walipokea mpangilio wa nyota kutoka kwa Wagiriki na kufasiri majina ya kundinyotamakundinyota. Kuanzia [[karne ya 12]] vitabu vya Kiarabu vilifasiriwa kwa Kilatini nahivyona hivyo kupatikana kwa mataifa ya [[Ulaya]] ambako vitabu vya Wagiriki wenyewe vilipotea. Hapo majina mengi ya Kiarabu kwa nyota mbalimbali yalipokelewa katika lugha za Ulaya.
 
Baada ya uenezaji wa mataifa ya Ulaya funianiduniani kupitia wapelelezi kama [[Kristoforo Kolumbus]], [[Vasco da Gama]], [[Ferdinand Magellan]] na [[Pieter Dirkszoon Keyser]] wanaastronomia wa Ulaya walipokea taarifa nakuhusu nyota ambazo hazikujulikana kwao bado. Walianza kuchora ramani za nyota za nusutufe ya kusini[[angakusi]] ya dunia na kuongezakupanga kundinyotamakundinyota mapya kwa ajili ya nyota ambazoza hazikujulikana kwao badokusini. Hapo alikuwa hasa Mholanzi [[Petrus Plancius]] aliyetangazaaliyetunga kundinyotamakundinyota mpyamapya 12 kwenye [[globu ya nyota]] yake.
 
Mnamo mwaka 1603 Mjerumani [[Johann Bayer]] alibuni mfumo wa kutaja nyota ambao kimsingi unaendelea kutumiwa hadi leo<ref>[http://www.ianridpath.com/startales/bayer%20southern.htm Johann Bayer’s southern star chart ]</ref>. Alipanga nyota zilizoonekanazinazoonekana kufuatana na alizojua kwa kundinyota; ambalohapa zimoaliipa halafukila aliongezanyota herufi kwatofauti kilakufuatana nyotamwangaza ndani yakatika kundi kufuatana mwangazalake. Kwa hiyo nyota angavu zaidi katika kundinyota lilipewa [[herufi ya Kigiriki]] [[Alfa]] (<big>α</big>), iliyofuata kwa mwangaza [[Beta]] (<big>β</big>) na kadhalika. Mfumo huu unajulikana kama [[majina ya Bayer]] ''([[ing.]] [[:en:Bayer designation|Bayer designations]])''
 
Bayer hakupanga ufuatano kikamilifu jinsi sisi tunavyoona mwangaza leo hii. Wakati mwingine alipanga nyota zenye mwangaza wa kufanana pamoja na kuzipa herufi kuanzia kushoto kwenda kulia au kutoka juu kwenda chini.
 
Kama kundinyota lilikuwa na idadi kubwa ya nyota kushinda idadi ya herufi za [[alfabeti ya Kigiriki]] aliendelea kutumia [[herufi za Kilatini]] kama a-b-c. Mfano mashuhuri ni nyota jirani ya jua letu katika anga la nje, [[Rijili Kantori]] (Alfa Centauri) aliyoiona kama nyota angavu zaidi katika nyota kwenye kundinyota la [[Kantarusi]] ([[:en:Centaurus]]).
[[Picha:Constellations ecliptic equirectangular plot.svg|400px|thumb|Mpangilio wa anga lote kwa kundinyotamakundinyota kufuatana na Delporte na [[Ukia]]]].
[[Kantarusi]] ([[:en:Centaurus]]).
[[Picha:Constellations ecliptic equirectangular plot.svg|400px|thumb|Mpangilio wa anga lote kwa kundinyota kufuatana na Delporte na [[Ukia]]]].
 
Mfumo wa Bayer ulionekana kuwa na kasoro hasa tangu kuboreka kwa darubini kwa sababu idadi ya nyota zilizoweza kutambuliwa iliongezeka mara kwa mara. Hapo kulikuwa na mifumo mbadala iliyofuata kwa mfano ule wa [[namba za Flamsteed]].