Kundinyota : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 40:
Bayer hakupanga ufuatano kikamilifu jinsi sisi tunavyoona mwangaza leo hii. Wakati mwingine alipanga nyota zenye mwangaza wa kufanana pamoja na kuzipa herufi kuanzia kushoto kwenda kulia au kutoka juu kwenda chini.
 
Kama kundinyota lilikuwa na idadi kubwa ya nyota kushinda idadi ya herufi za [[alfabeti ya Kigiriki]] aliendelea kutumia [[herufi za Kilatini]] kama a-b-c. Mfano mashuhuri ni nyota jirani ya jua letu katika anga la nje, [[Rijili Kantori]] (Alfa Centauri) aliyoiona kama nyota angavu zaidi kwenye kundinyota la [[Kantarusi]] ([[:en:Centaurus]]).
[[Picha:Constellations ecliptic equirectangular plot.svg|400px|thumb|Mpangilio wa anga lote kwa makundinyota kufuatana na Delporte na [[Ukia]]]].
 
Mfumo wa Bayer ulionekana kuwa na kasoro hasa tangu kuboreka kwa darubini kwa sababu idadi ya nyota zilizoweza kutambuliwa iliongezeka mara kwa mara. Hapo kulikuwa na mifumo mbadala iliyofuata kwa mfano ule wa [[namba za Flamsteed]]. Pamoja na maendeleo ya darubini idadi za nyota zilizoweza kutofautishwa imezidi kuongezeka. Leo hii nyota nyingi hutajwa kufuatana na orodha mbalimbali zenye nyota mamilioni lakini hata hivyo majina ya Bayer hutumiwa hadi leo kwa nyota angavu zaidi.
 
==Matumizi ya kundinyota katika astronomia==
[[Picha:Constellations ecliptic equirectangular plot.svg|400px|thumb|Mpangilio wa anga lote kwa makundinyota kufuatana na Delporte na [[Ukia]]]].
Astronomia imeshatambua ya kwamba kundinyota halipo hali halisi ni namna ya kupanga nyota tu tukitazama kutoka kwetu duniani; hali halisi hazipatikani mahali pamoja au pa karibu katika [[anga ya -nje]]. Hata hivyo ni msaada wa kutaja eneo fulani kwenye anga tunayoona. Kwa sababu hiyo [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia]] umetambua kundinyota 88 zinazokubaliwa kama msaada wa kutaja nyota. Sayansi ya [[astronomia]] inatumia kundinyota kama mbinu ya kupata ramani ya nyota jinsianga zinavyoonekanajuu anganiyetu. Majina ya nyota zinazoonekana hutajwa kufuatana na eneo la kundinyota zinapoonekana halafu kwa kuongeza [[herufi za kigiriki]].
 
Mfano mashuhuri ni nyota iliyo karibu na juaJua letu katika [[anga ya ulimwengu]] ambayo ni [[Rijili Kantori]] hutajwainayotajwa kama "[[Alpha Centauri]]" maana ni nyota iliyohesabiwa kama nyota ya kwanza kwa mwangaza katika eneo la kundinyota "Centaurus" (<small>swa.</small> [[Kantarusi (kundinyota)|Kantarusi]]).
 
Wanaastronomia wanatumia zaidi mfumo wa digrii zinazolingana na utaratibu wa [[latitudo]] na [[longitudo]] hapa duniani wakitaka kutaja mahali kamili pa nyota. Lakini hadi leo kundinyota ni msaada wa kujua eti nyota fulani au nyotamkia inapatikana katika eneo gani kwenye anga ya usiku. Hii ni sawa na kusema "mji fulani uko kaskazini-magharibi ya Afrika" kabla ya kutaja kikamilifu mahali pake kwa longitudo na latitudo.
Mstari 55:
<sup>Tazama pia makala: [[Kundinyota zote za UKIA]]</sup>
 
Mwanzo wa karne ya 20 mpangilio wa kundinyota haukuridhisha kwa sababu sehemu za mipaka kati ya kundinyota hazikueleweka vema. Hivyo mkutano mkuu wa kwanza wa [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia]] (IAU) mwaka 1922 kufafanuaulifafanua idadi ya kundinyota kuwa 88<ref>[http://www.ianridpath.com/iaulist1.htm "The IAU list of the 88 constellations and their abbreviations" ya mwaka 1922], iliangaliwa Mei 2017</ref>. Mwanaastronomia [[Eugène Delporte]] kutoka [[Ubelgiji]] alipewa kazi ya kupanga eneo lote la anga kwa makundi na kuchora mipaka kati ya kundinyota. Tokeo la kazi yake lilikubaliwa kwenye mkutano mkuu wa mwaka 1928.
 
== Kundinyota na utabiri katika [[Unajimu]] ==
KundinyotaMakundinyota zimekuwayamekuwa muhimu kwa ajili ya [[unajimu]]. Ni hasa kundinyotamakundinyota 12 zaya [[Zodiaki]] zinazodaiwayanayotazamiwa kuwa muhimu na kutawala tabia za watu kwenye [[horoskopi]]. Waswahili wa kale walirithi kundinyotamakundinyota hizihaya kutoka elimu ya Waarabu na kuziitakuyaita [[buruji za falaki]]<ref>[https://archive.org/stream/EncyclopaediaDictionaryIslamMuslimWorldEtcGibbKramerScholars.13/08.EncycIslam.NewEdPrepNumLeadOrient.EdEdComCon.BosDonLewPel.etc.UndPatIUA.v8.Ned-Sam.Leid.EJBrill.1995.#page/n115/mode/2up/search/NUDJUM J Knappert, fungu "In East Africa", makala AL-NUDJUM katika THE ENCYCLOPAEDIA OF ISLAM, LEIDEN BRILL 1997, VOLUME VIII NED — SAM, uk 105]</ref>
 
Majina asilia ya buruji za falaki ni:
*[[Hamali (kundinyota)|Hamali (pia: Kondoo)]] ([[ing.]] [[:en:Aries|Aries]])
*[[TauriHamali (kundinyota)|TauriHamali (pialeo: Ng'ombeKondoo)]] ([[ing.]] [[:en:TaurusAries|TaurusAries]])
*[[JauzaTauri (kundinyota)|JauzaTauri (pialeo: MapachaNg'ombe)]] (ing. [[:en:GeminiTaurus|GeminiTaurus]])
*[[SarataniJauza (kundinyota)|SarataniJauza (pialeo: KaaMapacha)]] (ing. [[:en:CancerGemini|CancerGemini]])
*[[AsadiSaratani (kundinyota)|AsadiSaratani (pialeo: SimbaKaa)]] (ing. [[:en:LeoCancer|LeoCancer]])
*[[NadhifaAsadi (kundinyota)|NadhifaAsadi (pialeo: MashukeSimba)]] (ing. [[:en:VirgoLeo|VirgoLeo]])
*[[HamaliNadhifa (kundinyota)|HamaliNadhifa (pialeo: KondooMashuke)]] ([[ing.]] [[:en:AriesVirgo|AriesVirgo]])
*[[Mizani (kundinyota)|Mizani]] (ing. [[:en:Libra|Libra]])
*[[Akarabu (kundinyota)|Akarabu (pialeo: Nge)]] (ing. [[:en:Scorpio|Scorpio]])
*[[Kausi (kundinyota)|Kausi (pialeo: Mshale)]] (ing. [[:en:Sagittarius|Sagittarius]])
*[[Jadi (kundinyota)|Jadi (pialeo: Mbuzi)]] (ing. [[:en:Capricornis|Capricornus]])
*[[Dalu (kundinyota)|Dalu (pialeo: Ndoo)]] (ing. [[:en:Aquarius|Aquarius]])
*[[Hutu (kundinyota)|Hutu (pialeo: Samaki)]] (ing. [[:en:Pisces|Pisces]])
 
Katika unajimu wa siku hizi majina mengi ya kimapokeo yamesahauliwa katika unajimu wa Afrika ya Mashariki na badala yake wapiga falaki wanatumia orodha ya majina ambayo mara nyingi ni tafsiri ya majina ya Kiingereza tu au pia namna ya kutaja alama ya kundinyota kwa neno la Kiswahili. IsipokuwaKwa Mizani na Mashuke bado ni majina asilia. Majina katika unajimu wa kisasa jinsi yalivyo kawaida ni yafuatayo:
# Kondoo (Aries): Machi 21 – Aprili 19
# Ng’ombe (Taurus): Aprili 20 – Mei 21
Line 88 ⟶ 89:
 
==Tazama pia==
[[KundinyotaMakundinyota 88 zaya Ukia]]
 
==Marejeo==