Dabarani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Tauri Taurus.png|400px|thumb|Dabarani (Aldebaran) katika kundinyota
[[Picha:Dabarani-Jua.png|350px|thumb|Ulinganifu wa ukubwa baina ya Aldebaran (Dabarani) na Jua; hata hivyo masi halisi ya Dabarani inafanana na Jua]]
'''Dabarani''' ([[ing.]] na [[lat.]] '''Aldebaran''' pia '''<big>α</big> Alpha Tauri''', kifupi '''Alpha Tau''', '''α Tau''') ni nyota angavu zaidi katika kundinyota
==Jina==
Mstari 12:
Dabarani ni nyota ya karibu kiasi ikiwa umbali wake na Dunia ni [[miaka ya nuru]] 65 -66 <ref> Gatewood, George (July 2008)</ref> . Masi yake ni [[M☉]] 1.5- na nusukipenyo chake [[R☉]] 45 (vizio vya kulinganisha na Jua letu) <ref> Hatzes, A.; Cochran, W. (1993). wanataja [[parsek]] 20.43, taz. chini</ref>.
Ni [[nyota jitu jekundu]] katika [[kundi la spektra]] K5 III. Ilhali masi yake ni kidogo tu kubwa kuliko [[Jua]] letu kipenyo chake ni kubwa zaidi mara 45 na sababu yake ni ya kwamba jitu jekundu ni nyota iliyopanuka baada ya kuishiwa
==Tanbihi==
|