Dajaja (kundinyota) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 6:
==Jina==
Dajaja (Cygnus) ilijulikana kwa mabaharia Waswahili tangu miaka mingi wakifuata njia yao baharini wakati wa usiku kwa msaada wa nyota. Walipokea jina hili kutoka kwa Waarabu wanaosema <big>الدجاجة</big> ''al-dajaja'' wakimtaja ndege wa aina ya [[kuku]]. <ref>ling. Knappert 1993</ref>. Waarabu walipokea jina hili kutoka kwa [[Klaudio Ptolemaio|Ptolemaio]] aliyeiita Ορνις ''ornis'' yaani ndege au kuku<ref>Kwa Kigiriki cha Kale neno Ορνις ''ornis'' iliweza kumaanisha ndege kwa jumla au pia kuku kwa maana ya pekee. Linganisha Paul Kunitzsch, Almagest uk.179</ref>. Wagiriki wa Kale kwa jumla waliona hapa ndege waliotaja kwa majina tofauti<ref>Allen uk 192 anataja Ornis kama jina la kawaida; ni [[Eratosthenes]] aliyewahi kutumia jina “kyknos”. Allen anaona Wagiriki walipokea kundinyota
Katika mapokeo ya baadaye hasa wakati wa Kiroma ndege ilichukuliwa kumaanisha [[bata-maji]] au “kyknos” ([[lat.]] Cygnus) iliyounganishwa na ndege huyu wa angani kati ya Wagiriki na [[Waroma wa Kale]]. Katika [[mitholojia ya Kigiriki]] "''kyknos''"inaweza kurejelea masimulizi ya mungu mkuu [[Zeus]] aliyechukua umbo la bata maji akitembea duniani na kutafuta mapenzi na mabinti wa kibinadamu<ref>Linganisha mitholojia
Cygnus - Dajaja ni kati ya makundinyota yaliyotajwa tayari na [[Klaudio Ptolemaio]] (kwake kama ornis - ndege) katika karne ya 2 BK. Iko pia katika orodha ya makundinyota 88 ya [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia]] <ref>[https://www.iau.org/public/themes/constellations/ The Constellations], tovuti ya International Astronomical Union , iliangaliwa Julai 2017</ref> kwa jina la Cygnus. Kifupi chake rasmi kufuatana na [[UKIA]] ni 'Cyg'.<ref name="pa30_469">{{cite journal | last=Russell | first=Henry Norris | title=The New International Symbols for the Constellations | journal=[[Popular Astronomy (US magazine)|Popular Astronomy]] | volume=30 | pages=469–71 | bibcode=1922PA.....30..469R | year=1922}}</ref>
|