Roho : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 1:
'''Roho''' ni [[umbile]] la pekee lisiloonekana ambalo linasadikiwa kuwemo pamoja na [[mwili]] katika [[binadamu]] na kuunda hasa [[malaika]] (ambao kati yao wale wabaya wanaitwa ma[[shetani]]).
 
Katika [[lugha]] mbalimbali umbile hilo linafananishwa na [[upepo]] au [[pumzi]].
 
[[Mungu]] mwenyewe anasadikiwa kuwa roho bora. Kwa namna ya pekee [[Ukristo]] unasadiki moja ya [[nafsi]] yaza Kimungu ndani ya [[Utatu]] inayoitwa [[Roho Mtakatifu]].
 
Pengine roho inafikiriwa kueleza tofauti kubwa mno ambayo inajitokeza kati ya binadamu na [[sokwe]] na [[wanyama]] wengine wote upande wa [[akili]] na [[utendaji]], na ambayo haielezwi vya kutosha na tofauti katika [[DNA]] zao.
 
Inasadikiwa kuwa mtu ni roho. Naye anayo nafsi na hukaa ndani ya mwili.
RohoInasadikiwa kuwa roho ndiyo sehemu bora zaidi ya mwanadamu na husadikiwa kuwa haifi bali hudumu [[milele]]. Roho humuunganisha mtu na [[ulimwengu]] wa kiroho mbaoambao aghalabu huwa ni ulimwengu usioonekana kwana [[macho]] ya kawaida, yaani ya kimwilimwili.
{{mbegu-dini}}