Madhabahu (kundinyota) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Madhabahu Ara.png|thumb|right|400px|Nyota za kundinyota Madhabahu (Ara) katika sehemu yao ya angani]]
'''Madhabahu''' ('''[[:en:Ara|Ara]]''' kwa [[Kilatini]] na [[Kiingereza]]) <ref>[[Uhusika milikishi]] ''([[:en:genitive]])'' ya neno "Ara" katika lugha ya [[Kilatini]] ni "Arae" na hili ni umbo la jina linaloonekana katika majina ya nyota za kundi hili kama vile Alfa Arae, nk.</ref>
==Mahali pake==
Madhabahu iko jirani na kundinyota la [[
==Jina==
Madhabahu ni kati ya kundinyota zilizotajwa tayari na [[Klaudio Ptolemaio]] katika karne ya 2 BK. Iko pia katika orodha ya makundinyota 88 ya Umoja wa Kimataifa wa Astronomia. Jina linatoka katika mitholojia ya [[Ugiriki ya Kale]]<ref>[https://www.iau.org/public/themes/constellations/ The Constellations], tovuti ya International Astronomical Union , iliangaliwa Julai 2017</ref>
==Nyota==
Nyota angavu zaidi ni α Alfa Arae yenye [[mwangaza unaoonekana]] wa 2.93 [[mag]] ikiwa
==Tanbihi==
|