Philippus Mwarabu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Marcus Julius Philippus''' (takriban [[204]] – [[Septemba]] [[249]]) alikuwa [[Kaizari]] wa [[Dola la Roma]] kuanzia [[Februari]] [[244]] hadi [[kifo]] chake. Alipenda [[Ukristo]].
Alimfuata [[Gordian III]] akauawa na [[mwandamizi]] wake, [[Gaius Messius Quintus Decius]] ambaye alianza mapema [[dhuluma]] mpya dhidi ya [[Wakristo]].
Aliitwa '''Mwarabu''' kwa vile alizaliwa na [[wazazi]] [[Waarabu]] katika jimbo la [[Arabia]] karibu na [[mji]] wa [[Damasko]] ([[Syria]]).
{{Mbegu-Kaizari-Roma}}
|