Moto : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Large bonfire.jpg|thumb|Moto
[[Picha:Pembetatu moto.png|thumb|[[Pembetatu]] ya moto inaonyesha masharti matatu yanayohitajika kwa moto kuwaka.]]
[[Picha:Streichholz.jpg|thumb|150px|Kiberiti kinawaka.]]
'''Moto''' ni hali ya
▲'''Moto''' ni hali ya kuchoma haraka kwa [[gimba]] na kutoa [[joto]] pamoja na [[nuru]]. Kisayansi ni [[mmenyuko]] wa kikemia kati ya [[oksijeni]] ya [[hewa|hewani]] na [[kampaundi]] za [[kaboni]]. Moto ni mfano mkuu wa harakati ya kuoksidisha.
Katika [[historia]] ya [[binadamu]] matumizi ya moto yalikuwa hatua kubwa ya kujenga [[utamaduni]]. Watu hutumia moto kwa kupika, kujilinda dhidi ya [[baridi]] na [[giza]], kupeana habari, kuendesha [[vyombo vya usafiri]] na kutengeneza [[umeme]].
Line 16 ⟶ 15:
* mmenyuko mfululizo unaoendeleza hali ya kuwaka kwa moto
Masharti haya manne huelezwa kwa [[tetrahedroni]] ya moto. Hakuna moto kama masharti
Mmenyuko mfululizo ni lazima kwa kuendelea kwa moto ukihkikisha ya kwamba kuna joto la kutosha kuendeleza moto.
Moto inazimika kama moja kati ya masharti manne linaondolewa. Katika mfamo wa moto ya gesi kwenye jiko la kupikia ya gesi moto huu unazimika kwa:
* kuzima gesi ambayo inaodoa chanzo cha fueli
* kufunika moto kabisa maana hii inazuia oksijeni kufika motoni; baada ya muda mfupi akiba ya oksijeni iliyo karibu na moto imekwisha na moto inazimika
Line 30 ⟶ 28:
=== Matumizi asilia ya moto ===
[[Wataalamu]] wanaamini ya kwamba watu wa kale sana waliona faida ya kutumia moto uliotokea kiasili kutokana na [[radi]] n.k
Kwa hiyo inaaminiwa
==Viungo vya nje==
Line 41 ⟶ 39:
[[Jamii:Kemia| ]]
[[Jamii:Teknolojia]]
[[Jamii:Utamaduni]]
|