Meza (kundinyota) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image: Mesa Mensa.png |thumb|right|400px|Nyota za kundinyota Mesa (Fornax ) katika sehemu yao ya angani]]
[[Picha:Mensa constellation map.png|thumb|300px|Ramani ya Meza (LMC= Large Magellan Claoud = Wingu Kubwa la Magellan)]]
'''Meza''' (kwa [[Kilatini]] na [[Kiingereza]] ''[[:en: Mensa|Mensa]]'') <ref>[[Uhusika milikishi]] ''([[:en:genitive]])'' ya neno "Mensa " katika lugha ya [[Kilatini]] ni "Mensae" na hili ni umbo la jina linaloonekana katika majina ya nyota za kundi hili kama vile Alfa Mensae, nk. </ref> ni [[jina]] la [[kundinyota]] ndogo kwenye [[
==Mahali pake==
Mstari 7:
==Jina==
Meza ni kati ya makundinyota yaliyoobuniwa katika enzi ya kisasa. Kama ilivyo kwa nyota nyingine zinazoonekana kwenye
Lacaille alikaa miaka miwili kwenye [[Rasi ya Tumaini Jema]] (Afrika Kusini) alipokuwa akitazama nyota za
Meza iko katika makundinyota 88 yaliyooorodheshwa na [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia]] <ref>[https://www.iau.org/public/themes/constellations/ The Constellations], tovuti ya International Astronomical Union , iliangaliwa Julai 2017</ref> kwa jina la Mensa. Kifupi chake rasmi kufuatana na [[Ukia]] ni 'Men'.<ref name="pa30_469">{{cite journal | last=Russell | first=Henry Norris | title=The New International Symbols for the Constellations | journal=[[Popular Astronomy (US magazine)|Popular Astronomy]] | volume=30 | pages=469–71 | bibcode=1922PA.....30..469R | year=1922}}</ref>
==Nyota==
Nyota za Meza ni chache na dhaifu sana. Hakuna nyota iliyo na mwangaza juu ya [[mag]] 5. Nyota angavu zaidi ni Alpha Mensae yenye [[mwangaza unaoonekana]] wa mag 5.09 ikiwa umbali wa [[
[[Wingu Kubwa la Magellan]]
==Tanbihi==
|