Kinyonga (kundinyota) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Image: Kinyonga Chamaeleon.png |thumb|right|400px|Nyota za kundinyota Kinyonga (Chamaeleon) katika sehemu yao ya angani]]
[[Picha:Chamaeleon IAU.svg|350px|thumb|Ramani ya Kinyonga - Chamaeleon]]
'''Kinyonga''' (kwa [[Kilatini]] na [[Kiingereza]] ''[[:en:Chamaeleon|Chamaeleon]]'') <ref>[[Uhusika milikishi]] ''([[:en:genitive]])'' ya neno "Chamaeleon" katika lugha ya [[Kilatini]] ni "Chamaeleontis" na hili ni umbo la jina linaloonekana katika majina ya nyota za kundi hili kama vile Alfa Chamaeleontis, nk.</ref> ni [[jina]] la [[kundinyota]] ndogo kwenye [[nusutufe ya kusiniangakusi]] ya [[dunia]] yetu.
 
==Mahali pake==