Kundinyota : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Sternbild orion.jpg|thumb|350px|Nyota za kundinyota Jabari (''Orion'') angani]]
[[Picha:Orion kundinyota.jpg|thumb|350px|Baada kuunganisha nyota za Jabari (Orion) kwa kuwaza mistari kunajitokeza picha ya mvindaji]]
[[Picha:Orion Picha.jpg|thumb|300px|right|Jabari (Orion) kama mvindaji alivyowazwa na [[Johann Bayer]] wakati wa karne ya 17]]
Mstari 6:
 
==Kusudi la kupanga nyota katika kundinyota==
Tangu zamani [[watu]] walitazama nyota kama [[nukta]] na nyota za jirani kama kundi. Waliwaza kundinyota kuwa [[picha]] wakichora mistari kati yake, hivyo kuona picha za watu, [[wanyama]] au [[miungu]] yao. Kundinyota zinazojulikana sana ni kama vile [[Jabari (kundinyota)|Jabari]] (''[[:en:Orion]]''), Akarabu[[Nge (kundinyota)|Nge]] (pia Akarabu, ''[[:en:Skorpio]]''), [[Mara]] (''[[:en:Andromeda]]'') au [[Salibu]] (''[[:en:Southern Cross]]'').
 
Kujumlisha hiviKupanga nyota hivi kwa makundi kulikuwa msaada kwa watu kukumbuka na kutambua nyota.
 
Hali halisi nyota hizi hazina uhusiano kati yake, zinaonekana tu kama kundi kwa mtazamaji aliye duniani lakini haziko mahali pamoja katika [[anga ya -nje]]. Zinaweza kuwa mbali sana kutoka nyota nyingine inayoonekana iko ndani ya kundinyota ileilelilelile.
 
Hivyo kundinyota ni tofauti na [[fungunyota]] ''([[:en:star cluster]])'' ambalo ni idadi kubwa ya nyota zilizopo kweli karibu eneo moja angani. Ila tu kwa [[jicho]] tupu fungunyota linaonekana kama nyota moja tu au halionekani kutokana na [[umbali]], zimetambuliwa kwa [[darubini]] tu. [[Kilimia]] (''Pleiades'') ni fungunyota la pekee linaloweza kutambuliwa bila msaada wa mitambo na hivyo ni maarufu kama kundinyota pia.
 
KwaInasaidia jumlakutofautisha ulikuwamaeneo msaadakwenye waanga kutofautisha maeneoya anganiusiku kama nyota ziliwezazinaweza kutajwa kuwepo katika eneo la kundinyota fulani linalokumbukwa kwa rahisi kutokana na ruwaza ya nyota.
 
[[Elimu]] hii ilikuwa msaada hasa kwa watu waliosafiri wakati wa [[usiku]] kama [[mabaharia]] na pia [[wafugaji]] katika [[mazingira]] ya [[Jangwa|jangwani]]. Walizoea kutumia nyota kama maelekezo ya njia zao.
Mstari 21:
Picha za kundinyota la [[Jabari (kundinyota)|Jabari]] (''Orion'') katika makala hii zinaonyesha njia kuanzia kutazama nyota angani hadi kufikia wazo la kundinyota ambalo ni picha ya mtu. <br/>
 
1. Jabari inaonekana vizuri kwa sababu, kwanza kuna nyota tatu zinazokaa katikakama mstari. Juu yake upande wa kushoto kidogo ni nyota mbili zinazong'aa sana. Chini ya mstari wa nyota tatu kuna nyota mbili au tatu (inategemea ubora wa macho) za karibu sana. Halafu chini yake tena kuna nyota mbili za mbali kidogo zinazong'aa na kufanana na zile mbili za juu. Kama giza linaongezeka, nyota zaidi zinazoonekana.<br/>
 
2. Watu waliunganisha nyota kwa kuwaza mistari wakaanza kumwona mtu. Nyota tatu za katikati(δ, ε, ζ) ziliitwa ukanda, nyota mbili za kung'aa za juu (α, γ) zikawa mabega ya mtu na nyota mbili za chini (β,κ) miguu yake. Nyota mbili au tatu chini ya "ukanda" (ι, θ) zikatajwa kama upanga unaofungwa kwenye ukanda. Nyota nyingine hafifu zaidi zikaunganishwa katika picha hii: nyota za "π" 1,2,3 zikawa kama ngao; λ kama kichwa.<br/>
 
3. Wasanii walichora picha kama ile ya juu upande wa kushoto (nyota kadhaa zilitiwa rangi katika makala hii kwa kuonekana vizuri zaidi si picha yenyewe). Hivyo katika mawazo ya watu wa kale katika tamaduni mbalimbali anga lilijaa miungu pamoja na mashujaa wa kale.<br/>
 
==Historia ya kundinyota==
Mstari 46:
==Matumizi ya kundinyota katika astronomia==
[[Picha:Constellations ecliptic equirectangular plot.svg|400px|thumb|Mpangilio wa anga lote kwa makundinyota kufuatana na Delporte na [[Ukia]]]].
Astronomia imeshatambua ya kwamba kundinyota halipo hali halisi, ni namna ya kupanga nyota tu tukitazama kutoka kwetu duniani;. haliHali halisi hazipatikani mahali pamoja au pa karibu katika [[anga-nje]]. Hata hivyo ni msaada wa kutaja eneo fulani kwenye anga tunayoona. Kwa sababu hiyo [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia]] umetambua kundinyota 88 zinazokubaliwa kama msaada wa kutaja nyota. Sayansi ya [[astronomia]] inatumia kundinyota kama mbinu ya kupata ramani ya anga juu yetu. Majina ya nyota zinazoonekana hutajwa kufuatana na eneo la kundinyota zinapoonekana halafu kwa kuongeza [[herufi za kigiriki]].
 
Mfano mashuhuri ni nyota iliyo karibu na Jua letu katika [[anga ya ulimwengu]] ambayo ni [[Rijili Kantori]]. inayotajwaHutajwa kama "[[Alpha Centauri]]" maana ni nyota iliyohesabiwa kama nyota ya kwanza kwa mwangaza katika eneo la kundinyota "Centaurus" (<small>swa.</small> [[Kantarusi (kundinyota)|Kantarusi]]).
 
Wanaastronomia wanatumia zaidi mfumo wa digrii zinazolingana na utaratibu wa [[latitudo]] na [[longitudo]] hapa duniani wakitaka kutaja mahali kamili pa nyota. Lakini hadi leo kundinyota ni msaada wa kujua eti nyota fulani au nyotamkia inapatikana katika eneo gani kwenye anga ya usiku. Hii ni sawa na kusema "mji fulani uko kaskazini-magharibi ya Afrika" kabla ya kutaja kikamilifu mahali pake kwa longitudo na latitudo.
Mstari 74:
*[[Hutu (kundinyota)|Hutu (leo: Samaki)]] (ing. [[:en:Pisces|Pisces]])
 
Katika unajimu wa siku hizi majina mengi ya kimapokeo yamesahauliwa katika unajimu wa Afrika ya Mashariki na badala yake wapiga falaki wanatumia orodha ya majina ambayo mara nyingi ni tafsiri ya majina ya Kiingereza tu au pia namna ya kutaja alama ya kundinyota kwa neno la Kiswahili. Kwa Mizani na Mashuke bado ni majina asilia. Majina katika unajimu wa kisasa jinsi yalivyo kawaida ni yafuatayo:
# Kondoo (Aries): Machi 21 – Aprili 19
# Ng’ombe (Taurus): Aprili 20 – Mei 21