Mhindi (kundinyota) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
<sup>Kwa maana tofauti ya jina hili tazama [[Muhindi]] na [[Uhindi]]</sup>
[[Image: Mhindi Indus.png |thumb|right|
'''Mhindi''' (kwa [[Kilatini]] na [[Kiingereza]] ''[[:en:Indus (constellation)|Indus]]'') <ref>[[Uhusika milikishi]] ''([[:en:genitive]])'' ya neno "Indus" katika lugha ya [[Kilatini]] ni "Indi" na hili ni umbo la jina linaloonekana katika majina ya nyota za kundi hili kama vile Alfa Indi, nk.</ref> ni [[jina]] la [[kundinyota]] linaloonekana katika [[angakusi]] ya [[Dunia]] yetu.
Mstari 7:
==Jina==
Mhindi
Keyser alitumia jina la [[Kiholanzi]] “De Indiaen” (yaani Mhindi) lililotajwa baadaye kwa jina la [[Kilatini]] „Indus“. Jina hili alilitumia kama kumbukumbu ya watu aliowaona mara ya kwanza katika maisha yake kwenye eneo la Bahari ya Hindi pale Madagaska na kwenye visiwa vya Indonesia. Baadaye alichukuliwa mara kadhaa kwa maana ya “Wahindi Wekundu” yaani Maindio wa Marekani ambayo si maana ya kiasili.
Mstari 14:
==Nyota==
Mhindi haina nayota angavu sana. Nyota angavu zaidi ni α Alfa Indi yenye [[uangavu unaoonekana|mwangaza unaoonekana]] wa [[mag]] 3.1 ikiwa
Epsilon Indi yenye mag 4.69 ni kati ya nyota zilizo karibu sana na Dunia ikiwa na umbali wa miakanuru 11.8.
|