Njia Nyeupe : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Protected "Njia nyeupe" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho) [Kuhamisha=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho)) |
No edit summary |
||
Mstari 6:
==Umbo na umbali==
Galaksi yetu imekadiriwa kuwa na nyota zaidi ya 300,000,000,000. Inafanana na kisahani chenye [[umbo]] la [[parafujo]]. [[Kipenyo]] cha kisahani hicho ni [[miakanuru]] 100,000 ikiwa na [[unene]] wa
Galaksi iliyo karibu zaidi angani inaitwa [[galaksi ya Andromeda|Andromeda]] ikiwa na [[umbali]] wa
Isipokuwa [[sayari]] za jua letu na [[kometi]] ''(zinazoonekana mara chache tu)'' na [[galaksi ya Andromeda]] ''(inayoonekana kama nyota 1)'', nyota zote ni kama jua letu.
|