Nyota nova : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 11:
*Nova ya Tycho Brahe pamoja na ile ya mwaka 1006 siku hizi zinaitwa "[[supanova]]" maana zilikuwa ni milipuko ya nyota zilizoharibiwa wakati wa matukio haya. Inayobaki ni wingu la mata yake iliyosambaa katika eneo kubwa kama ile ya Nebula ya Kaa. Nishati inayopatikana katika mlipuko wa supanova inazidi ile ya kuwaka kwa nova mara nyingi, hivyo uteuzi wa jina la "supa"-nova (yaani nova kuu).
*Neno "nova" linafahamika sasa ni kuwaka kwa muda kwa nyota ndani ya [[nyota pacha|mfumo wa nyota
==Tabia za nova==
[[Picha:Making a Nova.jpg|300px|thumb|Nyota Kibete Cheupe inavuta mata kutoka Jitu Jekundu jirani kwake.]]
Nyota nova za kawaida zinatokea katika [[Nyota pacha|mfumo wa nyota
Mchakato huu unazalisha kiasi kikubwa cha nishati na kurusha sehemu ya hidrojeni inayowaka kwenye anga ya nje. Hii inaongeza mwangaza wa nyota inayoonekana sasa kama nyota nova. Kiasi cha masi inayorushwa angani wakati wa kuwaka inalingana takriban na <sup>1</sup>/<sub>10,000</sub> ya [[masi ya Jua]].
|