Nyota : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 3:
== Nyota ni magimba makubwa ==
Kwa kutumia [[darubini]] na vifaa vya kisayansi imegunduliwa ya kwamba ni [[Gimba la angani|magimba]] makubwa sana katika [[anga la nje|anga
Leo tunajua ya kwamba nyota zote huwa na mwendo kwenye anga lakini mabadiliko haya hutokea polepole hayaonekani katika muda wa maisha ya binadamu. Lakini tunajua kutokana na habari za kihistoria ya kwamba mabadiliko yapo.<ref>Mfano wake ni mabadiliko ya [[Kutubu#Kutubu_kama_Nyota_ya_Ncha_ya_Kaskazini|nyota karibu na cha ya anga ya kaskazini]]</ref>
|