Antara : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
dNo edit summary |
||
Mstari 17:
Ni [[nyota jitu kuu jekundu]] katika [[kundi la spektra]] M1.5 Iab-b. Inaitwa jitu kuu kwa sababu masi yake ni kubwa vile, mara 15 ya Jua. Ikiwa nyota jitu kuu jekundu ni nyota iliyopanuka baada ya kuishiwa [[hidrojeni]] katika [[kitovu]] chake; katika hali hii kitovu cha nyota kinajikaza na myeyungano wa hidrojeni unahamia kwenye tabaka za nje za nyota. Hii inasababisha kupanuka kwa nyota na kuongezeka kwa mwangaza wake. Kama Antara ingechukua nafasi ya Jua letu, sayari za [[Utaridi]], Zuhura, Dunia na Mirihi zingemezwa nayo maana kipenyo chake kinazidi obiti ya Mirihi.
Antara ina nyota msindikizaji kwa hiyo iki katika mfumo wa nyota
==Tanbihi==
|