Elon Musk : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 25:
 
===SpaceX===
Baada ya kuondolewa katika ukurugenzi wa eBay Musk aliona maana ya kuboresha [[usafiri wa anga la nje|usafiri wa anga-nje]]. Mwaka 2001 alitunga mpango wa kuanzisha kituo cha "Mars Oasis" kwenye [[Mirihi|sayari ya Mirihi]]<ref>[http://www.spaceref.com/news/viewsr.html?pid=3698 MarsNow 1.9 Profile: Elon Musk, Life to Mars Foundation], blogu ya spaceref.com ya Septemba 2001, iliangaliwa Machi 2019</ref> akajaribu kununua roketi kubwa nchini [[Urusi]]. Alipoona bei zilikuwa juu mno alianza kutafakari uwezekano wa kuunda roketi mwenyewe akikadiria ya kwamba roketi zilizotengenezwa na taasisi za kiserikali kama [[NASA]] zilikuwa ghali mno.
 
Baada ya kupokea mapato kutokana na hisia za Paypal aliwekeza pesa yake katika kampuni mpya ya "Space Exploration Technologies" (teknolojia za utafiti wa anga la -nje), kifupi SpaceX. Kampuni hii ililenga kutengeneza roketi zinazoweza kupeleka mizigo kama satelaiti na baadaye pia watu kwenye [[anga la nje|anga-nje]]. Musk aliamua kuunda roketi inayoweza kutumiwa mara kadhaa badala za roketi zilizofaa kwa safari moja pekee jinsi ilivyokuwa kawaida.
 
SpaceX ilifaulu mwaka 2008 mara ya kwanza kufikia anga la -nje kwa roketi ya Falcon 1 ikiendelea kubeba satelaiti katika obiti ya nje. Gharama ni takriban theluthi 1 tu ya roketi za kawaida kwa sababu sehemu kubwa ya roketi inaweza kurudi duniani na kutumiwa tena.<ref>[https://www.bloomberg.com/graphics/2015-elon-musk-spacex/ Ashlee Vance: Elon Musk’s Space Dream Almost Killed Tesla]. tovuti ya Bloomberg.com ya 14 Mei 2015, iliangaliwa Machi 2019</ref>.
Roketi nyingine ni Falcon 9 na Heavy Falcon, kuna pia chombo cha angani cha SpaceX Dragon inayopeleka mizigo kutoka duniani kwenda [[Kituo cha Anga cha Kimataifa]]. Mwaka 2019 aina mpya ya Dragon itasafirisha pia wanaanga kwenda Kituo cha Anga cha Kimataifa.