Dunia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 19:
[[Umbo]] la dunia linafanana na [[tufe]] au [[mpira]] unaozunguka kwenye mhimili wake. "Mhimili wa dunia" ni [[mstari]] kati ya [[ncha]] zake.
 
Lakini si tufe kamili. Ina [[uvimbe]] kidogo kwenye sehemu ya [[ikweta]]; ilhali [[umbali]] kati ya ncha mbili ni [[kilomita]] 12,713 lakini umbali kati ya sehemu za kinyume kwenye ikweta ni km 12,756, yaani [[kipenyo]] hiki kinazidi takriban kilomita 43 kipenyo kati ya ncha na ncha. Tofauti hii inasababishwa na [[mzunguko]] wa dunia. [[Kani nje]] inasukuma sehemu za ikweta nje zaidi. Kwa hiyo mahali duniani palipo karibu zaidi na anga la -nje si [[Mlima Everest]] kwenye [[Himalaya]] bali [[mlima Chimborazo]] nchini [[Ekuador]].<ref>[http://www.npr.org/templates/story/story.php?storyId=9428163 Robert Krulwitch, The 'Highest' Spot on Earth?] [[Mlima]] Everest ni mlima mrefu duniani wenye [[kimo]] cha juu ya [[uwiano wa bahari]]; lakini Chimborazo ([[mita]] 6,268 [[juu ya UB]]) iko karibu na ikweta, hivyo msingi wake uko juu ya uvimbe wa ikweta, kwa hiyo ni mahali ambako ni mbali zaidi na [[kitovu]] cha dunia na karibu zaidi na mwezi! </ref>
 
[[Picha:MapW.png|thumbnail|Nusutufe ya dunia yenye maji mengi ]]
Mstari 110:
 
== Angahewa ==
Hewa iliyoko juu ya ardhi vile vile ina matabaka mbalimbali, na kila tabaka lina kazi yake. Hewa kwa jumla ina masafa ya kiasi cha kilomita 560 au [[maili]] 348 kuendea juu, na baada ya hapo unaingia kwenye anga la -nje. Hewa hiyo ndiyo inayokinga viumbehai na [[madhara]] ya Jua na mnururisho wa angani ambao unaingia anga ya dunia na kuteremka chini.
 
== Tazama pia ==