Besty~swwiki
Joined 14 Novemba 2009
Content deleted Content added
No edit summary |
d remove {{}} which seem inappropriate |
||
Mstari 83:
Allaah Anasema:
Wakabishana nawe katika haki baada ya kubainika kwenda huko kama kwamba wanasukumwa katika mauti na huku wanaona.
Mstari 89:
Na Allaah alipo kuahidini kuwa moja katika makundi mawili ni lenu. Nanyi mkapenda lisilo na nguvu ndio liwe lenu; na Allaah anapenda ahakikishe Haki kwa maneno yake, na aikate mizizi ya makafiri.
Ili ahakikishe Haki na auvunje upotovu na wangechukia wakosefu.
[Suuratul-Anfaal: 5-8]
Mstari 103:
Kisha akainuka Al-Mikdaad bin ‘Amru (Radhiya Allaahu ‘anhu) akasema:
“Ewe Mtume wa Allaah, nenda kama atakavyokuonyesha Allaah, na sisi tuko nyuma yako. WaLlaah hatukuambii kama walivyomuambia wana wa Israili Mtume wao Muusa:
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akasema: ((Vyema)) Kisha akamuombea du’ah.
Mstari 159:
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) hakusema uongo, kwani viumbe vyote vinatokana na maji. Allaah anasema:
== Waislam Wanapata Habari Muhimu Kuhusu Jeshi La Makuraysh ==
Mstari 241:
Allaah Anasema:
== Jeshi La Waislam Linatangulia Kukamata Sehemu Muhimu ==
Mstari 329:
Allaah anasema:
Majeshi yalipoanza kupambana, Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akaingia ndani ya lile hema, yeye na Abu Bakar (Radhiya Allaahu ‘anhu) peke yao, na hapana mwengine aliyeingia humo gheri yao, Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akaanza kuomba du’ah huku akisema:
Mstari 377:
Allaah Anasema:
Kisha Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akawaambia Swahaabah zake (Radhiya Allaahu ‘anhum):
Mstari 395:
Na Allaah hakufanya haya ila kuwa ni bishara na ili nyoyo zenu zituwe. Na haupatikani ushindi ila kutoka kwa Allaah. Hakika Allaah ni Mwenye nguvu, na Mwenye hikima.
Mstari 405:
Hayo ni kwa sababu wamemuasi Allaah na Mtume wake. Na mwenye kumuasi Allaah na Mtume wake basi Allaah ni Mkali wa kuadhibu.
Ndio hivyo! Basi ionjeni! Na bila ya shaka makafiri wana adhabu ya Moto.
[Suuratul-Al Anfaal: 9–14]
Mstari 563:
Allaah anasema:
Allaah, hapa anatujuulisha kuwa Yeye tu ndiye wa kutegemewa, na si viumbe vyake dhaifu. Yeye tu ndiye mwenye kuleta ushindi, na anayestahiki kukimbiliwa wakati wa dhiki, badala ya kuwakimbilia viumbe vyake dhaifu.
Mstari 571:
Allaah anasema:
Allaah aliwapa ushindi Waislam katika vita hivi juu ya uchache wao, wakati katika vita vya Hunain, kwa mara ya mwanzo Waislam walipigana vita idadi yao ikiwa kubwa zaidi kuliko ya makafiri lakini waliendeshwa mbio na makafiri mpaka Allaah alipowateremshia utulivu wake. Hakupata Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) kutoka na jeshi kubwa kuliko la siku hiyo, alitoka na watu elfu kumi na mbili, hata Waislam wakawa wanasema:
Mstari 579:
Allaah anasema:
Anasema Imaam Ahmad bin Hanbal (Rahimahu Allaah) kuwa:
|