Jumamosi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Protected "Jumamosi" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho) [Kuhamisha=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho)) |
|||
Mstari 9:
== Jina la siku kwa Kiswahili na kwa lugha mbalimbali ==
Katika lugha ya [[Kiswahili]] jina la siku lina namba "
Lugha nyingi za nchi za Kiislamu zafuata kawaida ya Kiarabu na kuiita vilevile "Sabato" kwa mfano [[Kiindonesia]] (Sabtu) au [[Kiajemi]] (Farsi) (شنبه - shanbe, kutoka "shabat").
Katika lugha kadhaa za Ulaya jina la siku hutunza kumbukumbu ya mungu aliyeabudiwa zamani za dini ya Kiroma kama vile [[Kiholanzi]] "Zaterdag" au [[Kiingereza]] "Saturday" (yote: siku ya [[Saturnus]]). Lakini lugha zaidi za Ulaya hutumia pia jina la Sabato kwa namna mbalimbali kwa mfano [[Kifaransa]] "samedi" (kutoka [[Kilatini]] sambati dies - ''siku ya Sabato''), [[Kihispania]] "Sábado", [[Kirusi]] Суббота (subbota - ''
{{Siku za juma}}
|