Ugiriki ya Kale : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Ugiriki ya Kale''' ni kipindi
Unadhaniwa na [[wanahistoria]] wengi kuwa ni [[utamaduni]] anzilishi wa [[ustaarabu
[[Wanafalsafa]] na [[wataalamu]] wake wa [[fani]] mbalimbali waliweka misingi muhimu ya [[maendeleo]] ya [[sayansi]] katika [[karne]] zilizofuata.
Hata baada ya Ugiriki kuingizwa katika [[Dola la Roma]], utamaduni wa Kigiriki ulikuwa na nguvu kubwa ya ushawishi. ▼
▲Hata baada ya Ugiriki kuingizwa katika [[Dola la Roma]], utamaduni wa Kigiriki ulikuwa na [[nguvu]] kubwa ya ushawishi.
Maendeleo ya elimu katika himaya ya Uislamu yalitegemea kwa kiasi kikubwa kazi ya ufasiri wa vitabu vya Wagiriki kwa lugha ya Kiarabu.▼
▲Maendeleo ya [[elimu]] katika himaya ya Uislamu yalitegemea kwa kiasi kikubwa kazi ya ufasiri wa [[vitabu]] vya Wagiriki
Ustaarabu wa Ugiriki ya kale umeathiri pia [[lugha]], [[siasa]], mifumo ya [[elimu]], [[falsafa]], [[sayansi]], [[sanaa]], [[ufundi]] sanifu wa Dunia ya kisasa, na kuchochea [[Mwamko Mpya]] katika Ulaya Magharibi; na kuchipuka tena katika vipindi mbalimbali vya uamsho wa tamaduni za kisasa za Kigiriki, ndani ya [[karne ya 18]] na [[karne ya 19|ya 19]] katika Ulaya na [[Amerika]].▼
▲
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Ugiriki ya Kale| ]]
[[Jamii:Historia ya Ulaya]]
[[Jamii:Historia ya Asia]]
[[Jamii:Historia ya Afrika]]
|