Alpha Blondy : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Zenman (majadiliano | michango)
Picha
No edit summary
Mstari 17:
}}
 
'''Alpha Blondy''' (Alizaliwajina kamala kulizaliwa: '''Seydou Koné''',; tar. [[1 Januari]] [[1953]] mjini* [[Dimbokoro]], [[Côte d'Ivoire]], [[Afrika1 yaJanuari]] Magharibi[[1953]]), ni [[mwanamuziki]] wa [[Reggae]] na [[msanii]] anayerekodi [[nyimbo]] zake nyingi kimataifa.
 
Alpha Blondy mara nyingi huimba kwa [[lugha]] ya kidioula[[Kidioula]] ambayo ndio lugha yake ya [[taifa]] huku akichanganya [[Kifaransa]] na [[Kiingereza]] , Lakinilakini pia wakati mwingine huimba kwa [[Kiarabu]] au [[Kiyahudi]]. [[Mashairi]] yake yanamanishayanamaanisha [[siasa]] kali yenye mwelekeo na uchangamfu.
 
== Maisha ya Mwanzomwanzo ==
Alpha ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto tisa, Jina la kuzaliwa ni Seydou Kone amezaliwa mjini Dimbokro mnamo [[1953]]. Alilelewa na bibi yake mzaa mama.
Mnamo mwaka [[1962]], Alpha Blondy alikwenda kukaa na baba yake aliyekuwa anaishi mjini Odienne, Ambapo alikaa kwa muda wa miaka kumi, Baadae akijiunga na shule ya Sainte Elisabeth high school, na kujishughulisha na makundi ya wanafunzi ya Ivory Coast. Hapo ndipo alipo unda bendi. Ingawaje, Upenzi huu uliathiri masomo yake na baadae Blondy alikufukuzwa shule kutokana na maudhulio mabovu shuleni.
 
Wazazi wake Alpha wakamplekawakampeleka mtoto wao aAplhaAlpha kusomea lugha ya Kiingereza mjini [[Monrovia]], mji mkuu wa nchi jirani ya [[Liberia]] mnamo mwaka [[1973]]. Huko alikaa kwa muda wa mwaka mmoja na mwezi mmoja kisha akamia nchini [[Marekani]] kwa kuongozea taaluma yake zaidi.
Huko Alikaa kwa muda wa mwaka mmoja na mwezi mmoja kisha akamia nchini [[Marekani]] kwa kuongozea taaluma yake zaidi.
 
=== Alivyokuwa Marekani ===
Line 36 ⟶ 35:
Hapo ndipo alipoanza kuonekana kama kazi yake kweli ni uimbaji, na kutumia jina la 'Alpha Blondy'.
 
== Imani Yakeyake ==
Ana [[imani]] ya Kirasta ([[Rastafari]])
Imani ya kirasta ( Rastafarian)
 
== Nyimbo Maarufumaarufu ==
Nyimbo ya kwanza kumpa mafanikio ilikuwa ''Brigadier Sabare''. ni moja kati ya nyimbo zenye ujumbe:
* ''Jah Glory'' - Hii aliimba juu ya upigaji vita umaskini.
Line 72 ⟶ 71:
== Viungo vya Nje ==
* [http://www.alphablondy.info/ Tovuti Rasmi ya Blondy]
{{mbegu-mwanamuziki}}
 
{{DEFAULTSORT:Blondy, Alpha}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1953]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Cote d'Ivoire]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1953]]