Taka : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:WasteFinalDeposited.jpg|thumb|235x235px|Taka zikiwa kwenye [[shimo]].]]
'''Taka''' au '''takataka''' (ing. ''waste, trash, garbage, rubbish, junk'') ni mabaki ya vitu, pia yale yanayobaki baada ya kuzalisha vitu, pamoja na yale yaliyotumiwa tayari na ambayo hayana matumizi tena.
'''Taka''' (kwa [[Kiingereza]] "waste") ni [[bidhaa]] au [[kitu]] chochote kisichohitajika au kisichoweza kutumika tena, au ni [[kifaa]] chochote kilichotupwa baada ya matumizi ya [[msingi]] kwa kuwa hakina [[kazi]] yoyote kwa mtumiaji.
 
Takataka ni kila dutu inayotupwa baada ya matumizi yake, au yenye kasoro na kwa hiyo haiwezi kutumika tena. Takataka hutupwa.
 
==Neno==
Taka au takataka inamaanisha kiasili uchafu, kinachotupwa, kinachofagiwa, au pia vitu vidogo vya shamba visivyo na thamani kubwa<ref>linganisha [[Krapf (1882)]], "taka", pia [[Madan (1903)]] </ref>.
 
==Aina za takataka==
Takataka inaweza kutokea kwa hali [[mango]] au [[kiowevu]]. gesi chafu kwa kawaida haihesabiki kati ya takataka, isipokuwa gesi iliyobaki katika vyombo pamoja na vyombo vile.
 
==Hasara za taka==
Taka zina [[athari]] nyingi katika [[jamii]]. Athari hizo niː
̽*1. Taka husababisha [[magonjwa]] mbalimbali ikiwemo [[homa ya manjano]],[[minyoo]], [[kansa]] n.k. hasa zikitokea karibu na makazi ya watu.
*2. Husababisha [[uharibifu wa mazingira]]: hufanya [[mazingira]] kuwa machafu.
*3. Taka husababisha uharibifu wa [[maji]], [[misitu]] n.k.
Line 9 ⟶ 18:
 
Hivyo tunashauriwa kutupa taka kwenye [[mashimo]] na kisha kuzichoma [[moto]] ili zisije zikaleta [[madhara]] kwenye jamii.
 
 
<references/>
 
 
{{mbegu-biolojia}}
 
[[Jamii:Ekolojia]]
[[Jamii:Takataka]]