Vita vya Kagera : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
; vita ya kagera;
d Masahihisho aliyefanya Kbij zepha (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni
Tag: Rollback
Mstari 1:
{{History of Tanzania}}
'''Vita yavya kageraKagera''' (kwa [[Kiingereza]]: <ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Uganda%E2%80%93Tanzania_War</ref>) ni [[vita]] vilivyopigwa kati ya mataifa mawili ambayo ni [[Uganda]] na [[Tanzania]] kuanzia [[tarehe]] [[30 Oktoba]] [[1978]] hadi ([[11 Aprili)]] ([[1979)]].
 
Vita hivyo vilihusu kugombania ardhi ya [[mkoa wa Kagera]] kati ya nchi ya Tanzania na Uganda.
Katika vita hivyo tanzania walikuwa tanzania walikuwa wakiongozwa na rais (J.K Nyerere)
 
kwa upande wa uganda walikuwa wakiongozwa na rais Iddi Amini Dadah pia aliungwa mkono na majeshi ya Muammar al-Gaddafi wa (Libya) na (palestina) Yasser Arafat.
Katika vita hivyo Tanzania, ikiongozwa na [[rais]] [[Julius Nyerere]] iliibuka kidedea kwa kuwapiga vema [[jeshi|majeshi]] ya [[gaidi]] [[Idd Amini]] Dadah yaliyoungwa [[mkono]] wa [[Libya]] ya [[Muammar al-Gaddafi]] na pia [[Palestina]] ya [[Yasser Arafat]].
Pamoja na muungano wa mataifa matatu yalishindwa kuipiga tanzania ilishinda vita hivyo
 
katika vitaVita hivyo viliua watu zaidi yakaribu 5,000 waliuwawa na wengine waliachwakuachwa [[yatima]].
NB.Mwanzilishi wa vita hivyo alikuwa ni Iddi Amini Dadah alianzisha vita hivyo kwa kusudi la
==Historia==
kupata ardhi ya kagera kwa shuruti ya vita
NB.[[Mwanzilishi]] wa vita hivyo alikuwa ni Iddi Amini Dadah aliyetaka alianzishakupewa vitana hivyomwl. Nyerere ardhi ya Kagera, tena kwa kusudishuruti laya kivita.
 
Nyerere aliwaongoza vema wanajeshi 100,000 wa Tanzania akisema, "mchokozi Iddi Amini Dadah ametuchokoza; uwezo wa kumpiga tunao, sababu ya kumpiga tunayo, nia ya kumpiga tunayo, hivyo tumeamua kupambana naye". Aliungwa mkono na [[Msumbiji]] na [[wanaharakati]] wa Uganda, akiwemo [[Yoweri Museveni]].
 
Katika vita hiyo Iddi Amini Dadah, baada ya kushambuliwa, alikimbilia nchini Libya, halafu [[Saudi Arabia]] hadi [[mauti]] yalipompata miaka ya baadaye.
 
==Matokeo==
Nchini Uganda ikawa ndiyo mwanzo wa [[vita vya wenyewe kwa wenyewe]].
 
Tanzania, iliyolaumiwa na [[Organization of African Unity]] kama kwamba ndiyo mvamizi, ililazimika kugharimia peke yake vita na hali ya [[usalama]] nchini Uganda baada ya [[ushindi]]. Jambo hilo lilizidi kudidimiza nchi katika [[ufukara]] na kufelisha mipango yake ya [[maendeleo]]. Tanzania ilimaliza kutoka katika hali hiyo mwaka [[2007]] tu, Uganda ilipolipa [[Deni|madeni]] yake.
 
==Tanbihi==
{{reflist}}
 
==Marejeo==
*{{cite web|last1 = Mambo|first1 = Andrew|last2 = Julian|first2 = Schofield|date = 2007|url = http://findarticles.com/p/articles/mi_qa3719/is_200712/ai_n24394498|title = Military Diversion in the 1978 Uganda-Tanzania War|journal = Journal of Political and Military Sociology|archive-url = https://web.archive.org/web/20111108065938/http://findarticles.com/p/articles/mi_qa3719/is_200712/ai_n24394498/|archive-date = 8 November 2011|deadurl = yes|df = dmy-all}}
{{Tanzania topics}}
{{Hoja Kuhusu Uganda}}
{{mbegu-historia}}
 
[[Jamii:Vita]]
[[Jamii:Mkoa wa Kagera]]
[[Jamii:Historia ya Tanzania]]
[[Jamii:Historia ya Uganda]]
[[Jamii:1978]]
[[Jamii:1979]]