Bahari ya Kara : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Kara Sea map.png|thumb|Bahari ya Kara]]
'''Bahari ya Kara''' ni tawi la [[Bahari ya Aktiki]], [[kaskazini]] kwa [[Urusi]]. Eneo lake la [[km²]] 893.400 км²liko baina ya visiwa vya Novaya Semlya na Severnaya Semlya.
 
Bahari ya Kara inapokea maji ya mito mikubwa ya [[Yenisei]] na [[Ob]].
 
Kutokana na [[tabianchi]] baridi uso wa bahari hii huganda ukifunikwa na [[barafu]] kwa takriban miezi 9 kila mwaka.
 
{{fupi}}