Kiolwa cha angani : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Protected "Kiolwa cha anga-nje" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho))
No edit summary
Mstari 21:
|Mifano ya violwa vya angani
|}
'''Kiolwa cha anga-nje''' (pia: '''gimba la angani''', kwa [[ing.Kiingereza]]: ''[[:en:astronomical object|astronomical object]] au celestial body'') ni [[jina]] la jumla kwa ajili ya [[Kitu|vitu]] vinayopatikana katika [[anga]] ya [[ulimwengu]].
 
Kati ya vitu hivihivyo huhesabiwa:
* [[Jua]]
* [[Sayari]]
Mstari 36:
* [[Wingu (anga la nje)|Mawingu katika anga]]
 
HiviHivyo vyote ni violwa asilia. Vitu vilivyoko kwenye anga-nje vilivyotengenezwa na [[binadamu]] ni [[vyombo vya anga-nje]]. Hapa kuna swali kama mabaki kutokana na vyombyovyombo vya anga-nje vilivyovunjika au [[takataka]] kutokanazinazotokana na [[safari]] za anga-nje yanastahili kuitwa kwa [[neno]] hili.
 
[[Elimu]] ya violwa vya anga-nje ni [[astronomia]].
 
{{mbegu-sayansi}}