Majimbo ya Ujerumani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Majimbo ya Ujerumani''' ni sehemu
Tangu [[mwaka]] [[1990]] ambapo maeneo ya [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani]] ([[1949]] hadi 1990, ilijulikana pia kama Ujerumani wa Mashariki) yalijiunga na [[shirikisho]] kuna majimbo 16.
Bunge za majimbo huchagua wawakilishi katika Bundesrat (Halmashauri ya Jamhuri ya Shirikisho) ambayo ni kitengo cha bunge la kitaifa pamoja na Bundestag.▼
Majimbo hujitawala katika mambo mbalimbali kulingana na [[katiba]] ya Ujerumani.
Kila [[jimbo]] lina [[katiba]] yake, [[serikali]], [[bunge]] na [[mahakama]] kulingana na [[mgawanyo wa madaraka]].
▲
== Majimbo ==
Line 136 ⟶ 140:
==Viungo vya nje==
{{commonscat|States of Germany}}
{{Kigezo:Majimbo ya Ujerumani}}▼
{{mbegu-jio-Ujerumani}}
▲{{Kigezo:Majimbo ya Ujerumani}}
[[Jamii:Majimbo ya Ujerumani|!]]
[[Jamii:Vijisehemu nchi kwa nchi|Ujerumani]]
|