Mshtarii : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 8:
[[Uso]] wa sayari hauonekani kwa sababu [[angahewa]] nzito inafunika kila sehemu. Maada ya angahewa ni hasa [[hidrojeni]] na [[heli]]. Kutokana na uzito wa angahewa [[shinikizo]] ndani yake inaongezeka sana katika vilindi vyake na kusababisha [[gesi]] za angahewa kuingia katika hali ya [[giligili]] (majimaji) inayobadilika kuwa [[mango]] (imara) ndani zaidi. Zamani iliaminika ya kwamba sayari yenyewe ni ya gesi iliyoganda lakini siku hizi wataalamu wa [[astronomia]] huamini ya kwamba kuna kiini cha [[mwamba]] au [[metali]].
Doa jekundu linaloonekana usoni mwa angahewa ni [[dhoruba]] ya [[tufani]] kubwa sana iliyotazamwa
== Miezi ==
|