Visiwa vya Faroe : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 61:
 
==Historia==
Wakazi wa kwanza walikuwa [[wamonaki]] kutoka [[Ireland]].
 
<br />
Kati ya miaka [[1035]] na [[1814]] visiwa vilikuwa chini ya Norwei. Ndipo vilipotolewa kwa [[Denmark]].
 
Kufikia mwanzo wa mwaka [[1540]] visiwa vilikuwa vimejiunga na [[Matengenezo ya Kiprotestanti]].
 
Kuanzia [[mwaka]] [[1948]] ni jimbo la nje la [[ufalme]] wa Denmark lenye madaraka ya pekee ya kujitawala. Visiwa vinaendesha shughuli zao isipokuwa [[siasa]] ya nje, [[jeshi]] na mambo ya [[mahakama]] ni chini ya [[serikali kuu]]. Hali ya kisiasa ndani ya Denmark inalingana na [[Greenland]] ambayo pia ni jimbo la nje la Denmark linalojitawala kwa kiwango kikubwa.
 
Visiwa vya Faroe viliamua kutoingia katika [[Umoja wa Ulaya]] pamoja na Denmark. Kumbe vimeunda [[umoja wa forodha]] na Iceland.
 
==Watu==
[[Picha:Tinganes.jpg|thumb|right|250px|[[Nyumba]] za [[serikali]] mjini [[Torshavn]].]]
<br />
[[Picha:New smyril 11.56.jpg|thumb|250px|right|[[Feri]] ikiondoka Torshavn]]
Wakazi wengi wana asili ya [[Skandinavia]] upande wa [[baba]] (87%) na ya [[Wakelti]] upande wa [[mama]] (84%).
 
== Viungo vya nje ==
[[Lugha rasmi]] ni Kifaroe, [[lugha ya Kigermanik]] ya Kaskazini karibu na [[Kiiceland]].
 
*
Hadi leo 84.1% za wakazi ni [[Walutheri]] na [[madhehebu]] yao ndiyo [[dini rasmi]].
 
==Uchumi==
[[Uchumi]] wa visiwa unategemea hasa [[uvuvi]].
 
== Viungo vya nje ==
{{commons}}
* [http://www.tinganes.fo/Default.aspx?AreaID=11 Official site]
* [http://www.visit-faroeislands.com/?Language=EN Official tourist site]
* [http://www.flickr.com/photos/14716771@N05/sets/72157602838195716/ Flick photo set]
 
{{Ulaya}}