Usoshalisti : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[File:1989 CPA 6101.jpg|upright|thumb|150px|[[Stempu]] ya [[Umoja wa Kisovyeti]] iliyomkumbusha [[Kwame Nkrumah]], rais wa kwanza wa [[Ghana]], aliyependekeza [[usoshalisti wa Kiafrika]].]]
[[File:New Harmony, Indiana, por F. Bates.jpg|upright|thumb|200px|Wazo la jamii usawa nikatika kuujamii kuanzishwaliliongoza dhana ya usoshalisti, hapampango wa mpango wakuanzisha mji katikawa New Harmony, [[Indiana]], [[Marekani]], kama ilivyopendekezwa na viwanda ya [[Uingereza]] [[Robert Owen]]. Tunafikiria kuchonga na [[F. Bate]], [[London]], 1838.]]
'''Usoshalisti''' ni [[nadharia]] ambayo inahusu [[siasa]] na [[uchumi]] na kutaka [[njia kuu za uchumi]] ziwe na manufaa kwa [[jamii]] nzima; ili kuhakikisha hilo, inataka zimilikiwe na [[umma]], [[dola]] au [[taifa]].
 
Chanzo cha nadharia hiyo ni mwishoni mwa [[karne ya 18]] kutokana na [[Vita ya uhuru wa Marekani|Vita vya uhuru wa Marekani]] na hasa [[Mapinduzi ya Kifaransa]].
 
Zilitokea aina nyingi za usoshalisti, kila moja ikiwa ya namna yake. Muhimu zaidi ni ile ya [[Karl Marx]] ([[1818]]-[[1883]]) aliyedai [[ukomunisti]] kuwa njia pekee ya kuleta [[haki]] na [[usawa]].