Mchwa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
→Usumbufu wa mchwa: kutengua - kuna tofauti kati ya mchwa (termite) na siafu (ant); marejereo yaliowekwa ni ya siafu sio mchwa |
||
Mstari 28:
'''Mchwa''' ni [[wadudu]] wadogo wa [[oda ya chini]] [[Isoptera]] katika [[oda]] [[Blattodea]] wanaoishi kwa makoloni makubwa katika [[kichuguu|vichuguu]]. Kuna aina ya mchwa ambayo huishi ndani ya mbao au miti. Takriban [[spishi]] zote hula [[ubao]].
Kila [[koloni]] lina [[malkia (mdudu)|malkia]], [[mfalme (mdudu)|mfalme]], [[askari (mdudu)|askari]] na [[wafanyakazi (mdudu)|wafanyakazi]].
Mara kwa mara wafanyakazi wanawapatia majana kadhaa [[chakula]] fulani ili wawe wadudu wanaoweza kuzaa. Wadudu hawa wana mabawa na huitwa [[kumbikumbi]].<ref>{{Cite web|url=https://pestsguide.com/termites/termite-larvae|title=Termite Larvae – What Does Baby Termite Look Like?|date=2018-11-24|language=en-US|work=PestsGuide|accessdate=2019-02-13}}</ref>
Mstari 42:
== Usumbufu wa mchwa ==
Hata hivyo, watu wengi huona mchwa kama wasumbufu haswa anapoishi karibu na majengo ya watu. Mchwa hula [[mbao]] na kwa hiyo huharibu [[mlango|milango]], [[samani]] na [[boriti|maboriti]] ya [[nyumba]]. Kwa wale wanaoishi ndani ya mbao na kula vifaa vya mbao nyumbani huleta pia tatizo la uchafu kutokana na kinyesi chao.<ref>[https://pestsguide.com/termites/termite-droppings-in-your-house/ Kuhusu kinyesi cha mchwa]</ref> Kwa hiyo, watu wengi hutafuta madawa ya kuua wadudu hawa. Wanaofanya taaluma hiyo kwanza huangalia mchwa ni wa aina gani ili aweze kujua amejificha wapi maana wao hujifinya pahala kwingi.
|