Mchwa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 26:
* Termopsidae
}}
'''Mchwa''' ni [[wadudu]] wadogo wa [[oda ya chini]] [[Isoptera]] katika [[oda]] [[Blattodea]] wanaoishi kwa [[Koloni|makoloni]] makubwa katika [[kichuguu|vichuguu]]. Kuna aina ya mchwa ambao huishi ndani ya [[mbao]] au [[miti]]. Takriban [[spishi]] zote hula [[ubao]].
Kila [[koloni]] lina [[malkia (mdudu)|malkia]], [[mfalme (mdudu)|mfalme]], [[askari (mdudu)|askari]] na [[wafanyakazi (mdudu)|wafanyakazi]]. Askari na wafanyakazi hawana [[mabawa]] lakini malkia na mfalme waliwahi kuwa na mabawa walipokuwa [[vijana]]. Mfalme anamtia malkia [[
Mara kwa mara wafanyakazi wanawapatia majana kadhaa [[chakula]] fulani ili wawe wadudu wanaoweza kuzaa. Wadudu hawa wana mabawa na huitwa [[kumbikumbi]].<ref>{{Cite web|url=https://pestsguide.com/termites/termite-larvae|title=Termite Larvae – What Does Baby Termite Look Like?|date=2018-11-24|language=en-US|work=PestsGuide|accessdate=2019-02-13}}</ref>
[[Utafiti]] wa hivi karibuni waonyesha mchwa, hasa mchwa wa [[Jangwa]] la [[Sahara]], kuwa ndiye [[mnyama]] anayestahimili [[joto]] zaidi. Spishi hii ya mchwa inaweza kustahimili joto hadi [[nyuzi]] 55.1.<ref>{{Cite web|url=http://www.bbc.com/earth/story/20141008-record-breaking-ant-takes-the-heat|title=The ant that is the hottest insect in the world|author=Nic Fleming|language=en|work=www.bbc.com|accessdate=2019-02-13}}</ref>
== Bidii na umoja ==
Mdudu huyu huishi kwa kushirikiana na kutangamana. Yeye halali kabla hajatafuta [[chakula]] cha kutosha na cha kuweka [[akiba]].
Mchwa wametumika katika hadithi nyingi za kitoto ili kufunza maadili ya bidii na umoja. Kwa kawaida, mchwa hukaa wote pamoja katika koloni.▼
▲
[[Mwandishi]] [[Aesop]] pia aliandika kuhusu bidii ya mchwa katika hadithi yake 'The Ant and the Grasshopper'.
Katika [[maandiko]] ya [[Biblia]] ([[kitabu cha Methali]]), waumini wameombwa waige mchwa katika utendakazi na umoja.
== Usumbufu wa mchwa ==▼
Hata hivyo, watu wengi huona mchwa kama wasumbufu haswa anapoishi karibu na majengo ya watu. Mchwa hula [[mbao]] na kwa hiyo huharibu [[mlango|milango]], [[samani]] na [[boriti|maboriti]] ya [[nyumba]].<ref>[http://www.buildinginspectionsadelaide.com.au/timber-pest-inspections-necessary-buying-house/ Timber pests]</ref> Kwa wale wanaoishi ndani ya mbao na kula vifaa vya mbao nyumbani huleta pia tatizo la uchafu kutokana na kinyesi chao.<ref>[https://pestsguide.com/termites/termite-droppings-in-your-house/ Kuhusu kinyesi cha mchwa]</ref> Kwa hiyo, watu wengi hutafuta madawa ya kuua wadudu hawa au njia zingine asili za kuwadhibiti kama vile utumizi wa udongo ''Diatomaceous'' au mafuta ya [[kitunguu saumu]] zinazoadhiri wadudu<ref>{{Cite web|url=https://pestsguide.com/termites/get-rid-of-termites-forever|title=How to Get Rid of Termites: A Comprehensive Guide (2019)|author=Ambru|date=2018-11-24|language=en-US|work=PestsGuide|accessdate=2019-06-17}}</ref>. Wanaofanya taaluma hiyo kwanza huangalia mchwa ni wa aina gani ili aweze kujua amejificha wapi maana wao hujifinya pahala kwingi.▼
Katika [[kitabu]] kitakatifu cha [[Waislamu]] cha [[Kurani]], [[Sulemani]] alisikia mchwa akiwaonya wengine warudi nyumbani wasije wakapondwapondwa.
▲== Usumbufu wa mchwa ==
Hata hivyo, watu wengi huona mchwa kama wasumbufu, haswa anapoishi karibu na [[Jengo|majengo]] ya watu. Mchwa hula [[mbao]] na kwa hiyo huharibu [[mlango|milango]], [[samani]] na [[boriti|maboriti]] ya [[nyumba]].<ref>[http://www.buildinginspectionsadelaide.com.au/timber-pest-inspections-necessary-buying-house/ Timber pests]</ref>
▲
Wanaofanya [[taaluma]] hiyo kwanza huangalia mchwa ni wa aina gani ili waweze kujua amejificha wapi maana wao hujifinya pahala kwingi.
==Spishi kadhaa za Afrika==
|