Waraka wa kwanza kwa Timotheo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 2:
'''Barua ya kwanza kwa Timotheo''' ni kimojawapo kati ya [[vitabu]] 27 vya [[Agano Jipya]] katika [[Biblia ya Kikristo]].
Pamoja na [[2Tim|ile ya pili]] aliyomuandikia na [[Waraka kwa Tito|ile kwa Tito]] inaunda [[kundi]] la [[Nyaraka za Kichungaji]].
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya [[maendeleo]] ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
== Mazingira ==
Barua hii iliandikwa na [[Mtume Paulo]] baada ya kifungo chake cha kwanza mjini [[Roma]] labda akiwa [[Makedonia]] ili kumpa [[mwanafunzi]] wake mpenzi [[Timotheo]] mashauri na maelekezo kwa [[kazi]] yake aliyomshirikisha.
== Viungo vya nje ==
{{Commons category}}{▼
▲{{Commons category}}
{{Wikisource|1 Timothy}}
===Tafsiri ya Kiswahili===
* [http://www.intratext.com/IXT/SWA0013/_INDEX.HTM] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili
===Vingine===
* [http://www.earlychristianwritings.com/1timothy.html First Timothy texts and resources]
{{mbegu-AganoJ}}
|