Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
dNo edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga''' ([[Ing.]] '''International Air Transport Association - IATA''' ) ni umoja wa kimataifa wa makampuni ya usafiri kwa ndege. Makao makuu yake yako [[Montreal]], [[Quebec]] nchini [[Kanada]] ambako kuna pia makao makuu ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga wa Kiraia (International Civil Aviation Organization).
IATA ilianzishwa mwaka 1945 kama ushirikiano wa makampuni makubwa ya ndege. Leo hii kuna takriban makampuni wanachama 240. Haya ni hasa makampuni ya kitaifa au
Kati ya kazi za IATA
Kazi muhimu nyingine ni kutoa kodo fupi kwa kila shirika na kila
==
{| class="wikitable sortable" width="100%"
Mstari 452:
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
*[https://www.iata.org/ Tovuti rasmi]
|