Jicho : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
Mstari 3:
'''Jicho''' ni sehemu ya [[mwili]] inayowezesha kuona. Ni [[ogani]] inayotambua [[mwanga]] na kutuma habari zake kwa [[ubongo]].
 
Macho Ndicho Chombo Pekee Kinacholeta Furaha Katika Mwili Mzima.
== Aina za macho ya viumbehai ==
Kuna mifumo mbalimbali ya macho kati ya aina mbalimbali za [[wanyama]].
 
Macho ya kimsingi kwa [[viumbehai]] vidogo yanatambua tu kama [[mazingira |mazingira]] yana mwanga au la. Hata kati ya viumbehai wenye [[seli]] moja kuna wenye [[protini]] zinazotofautisha [[giza]] na [[nuru]]. Kuna [[konokono]] ambao hawawezi "kuona" [[picha]] ya mazingira lakini wanatambua mwanga na uwezo huu unawawezesha kuepukana na mwanga wa [[jua]] ambao ungewakausha.
 
Macho yaliyoendelea kiasi yana [[umbo]] kama [[kikombe]] na hii inawezesha kutambua upande gani nuru inatokea.
 
[[Wanyama]] wengi huwa na macho yaliyoendelea zaidi: yana uwezo wa kuona picha halisi ya mazingira pamoja na [[rangi]] na [[mwendo]].
[[Picha:Drosophilidae_compound_eye.jpg|thumb||Jicho la nzi (drosophila) chini ya [[hadubini]]; [[lenzi]] ya kila [[omatidi]] inaonekana kama [[nusu tufe]].]]
 
== Macho ya kuungwa ==