Jicho : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Tags: Mobile edit Mobile web edit |
d Reverted edits by 154.73.106.237 (talk) to last version by Riccardo Riccioni: unexplained content removal Tags: Rollback SWViewer [1.3] |
||
Mstari 3:
'''Jicho''' ni sehemu ya [[mwili]] inayowezesha kuona. Ni [[ogani]] inayotambua [[mwanga]] na kutuma habari zake kwa [[ubongo]].
== Aina za macho ya viumbehai ==
Kuna mifumo mbalimbali ya macho kati ya aina mbalimbali za [[wanyama]].
Macho ya kimsingi kwa [[viumbehai]] vidogo yanatambua tu kama [[mazingira |mazingira]] yana mwanga au la. Hata kati ya viumbehai wenye [[seli]] moja kuna wenye [[protini]] zinazotofautisha [[giza]] na [[nuru]]. Kuna [[konokono]] ambao hawawezi "kuona" [[picha]] ya mazingira lakini wanatambua mwanga na uwezo huu unawawezesha kuepukana na mwanga wa [[jua]] ambao ungewakausha.
Macho yaliyoendelea kiasi yana [[umbo]] kama [[kikombe]] na hii inawezesha kutambua upande gani nuru inatokea.
[[Wanyama]] wengi huwa na macho yaliyoendelea zaidi: yana uwezo wa kuona picha halisi ya mazingira pamoja na [[rangi]] na [[mwendo]].
[[Picha:Drosophilidae_compound_eye.jpg|thumb||Jicho la nzi (drosophila) chini ya [[hadubini]]; [[lenzi]] ya kila [[omatidi]] inaonekana kama [[nusu tufe]].]]
== Macho ya kuungwa ==
|