Wikipedia ya Kipoland : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 14:
|}}
 
'''Wikipedia ya Kipoland''' ([[Kipoland]]: ''Wikipedia polskojęzyczna'') ni toleo la [[kamusi elezo]] ya [[Wikipedia]] kwa lugha ya [[Kipoland]]. Wikipedia ya Kipoland, ni toleo la tisa la Wikipedia. Ilianzishwa mnamo tar.[[tarehe]] [[26 Septemba]] katika mwaka wa [[2001]]. Na kwa mwezi

Mwezi wa [[Mei]] [[2008]], ilifikisha makala zaidi ya 500,000, na kuifanya iwe toleo la nne kwa ukubwa baada ya Wikipedia kwa [[Wikipedia ya Kiingereza|Kiingereza]], [[Wikipedia ya Kijerumani|Kijerumani]], na [[Wikipedia ya Kifaransa|Kifaransa]].

Tarehe 24 Septemba 2013 ilifikia nakala 1,000,000.

Hii ni toleo kubwa la Wikipedia katika orodha ya lugha za [[Lugha za Kislavoni|Kislavoni]] kwa idadi ya makala.
== Viungo vya Nje ==
{{InterWiki|code=pl}}