Sungusungu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Removed redirect to Sungusungu (sisimizi) Tag: Removed redirect |
No edit summary |
||
Mstari 6:
Jina hili lilianza kupata umaarufu tangu miaka ya 1980 kati ya Wasukuma<ref>Leticia K. Nkonya, Rural Water Management in Africa: The Impact of Customary Institutions in Tanzania,Cambria Press 2008, ISBN-10: 1604975377, ISBN-13: 978-1604975376, uk. 128, [https://books.google.co.tz/books?id=QaoHg7HiikwC&pg=PA130&dq=sungusungu&hl=en&sa=X&ved=0ahUKEwjRtsqru6PjAhUDJVAKHQgsDa4QuwUIKjAA#v=onepage&q=sungusungu&f=false online hapa]</ref> walioona matatizo ya wizi wa mifugo na ujambazi kwenye barabara baada ya vita ya Uganda na kurudi kwa wanajeshi wengi Tanzania.
Kufuatana nakumbukumbu ya wenyeji, walianzia [[Wilaya ya Kahama Vijijini|wilayani Kahama]],
Kati ya Wasukuma kulikuwa na utaratibu wa Wasungusungu; walisimamiwa na "ntemi" wao aliyesaidiwa na makamu wake, "ntwale" na katibu. Chini yao yuko "Kamanda" anayeongoza vijana wanoenda kuwakamata wezi au washtakiwa. Wote walishauriana katika "bunge la Sungusungu".
|