Mchwa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya Mwangi2017 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni Tag: Rollback |
|||
Mstari 48:
Hata hivyo, watu wengi huona mchwa kama wasumbufu, haswa anapoishi karibu na [[Jengo|majengo]] ya watu. Mchwa hula [[mbao]] na kwa hiyo huharibu [[mlango|milango]], [[samani]] na [[boriti|maboriti]] ya [[nyumba]].<ref>[http://www.buildinginspectionsadelaide.com.au/timber-pest-inspections-necessary-buying-house/ Timber pests]</ref>
Wale wanaoishi ndani ya mbao na kula vifaa vya mbao nyumbani huleta pia tatizo la [[uchafu]] kutokana na [[kinyesi]] chao.<ref>[https://pestsguide.com/termites/termite-droppings-in-your-house/ Kuhusu kinyesi cha mchwa]</ref> Kwa hiyo, watu wengi hutafuta [[dawa]] za kuua wadudu hawa au njia nyingine asili za kuwadhibiti kama vile utumizi wa [[udongo]] ''Diatomaceous''
Wanaofanya [[taaluma]] hiyo kwanza huangalia mchwa ni wa aina gani ili waweze kujua amejificha wapi maana wao hujifinya pahala kwingi.
|