Insha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
spam |
||
Mstari 25:
Wanafunzi wa [[vyuo vikuu]] pia huhitajika kuandika mitungo ya insha ambayo ni tofauti na ya wale walio kwa shule za misingi na [[sekondari]]. Kwa walio shule za sekondari, wao hutoa mitungo yao kwa [[akili]], yaani hubuni. Katika vyuo vikuu, mambo hubadilika ambako wafaa kunukuu vipengee vya [[vitabu]] tofauti na mitungo ya wengine ili uandike insha yako.
Kwa kawaida, insha hizi huitwa essays kwa lugha ya [[Kiingereza]]. Pia zinafuata kanuni fulani kama inavyoelezwa hapa
==Tazama pia==
* [[Insha zisizo za kisanaa]]
|