Benki : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
spam
Mstari 10:
* [[Benki za biashara]] ambazo ni makampuni yanayolenga kupata faida kubwa kwa kutoa huduma za kifedha. Benki hizi zinashughulikia [[mawasiliano]] kati ya watu au makampuni yenye pesa za ziada na watu au makampuni wanaohitaji pesa.
 
* [[Benki za ushirika]] ambazo mara nyingi hazilengi faida kubwa lakini huduma kwa wateja wasio na pesa nyingi; benki hizi zinapokea pia kiasi kidogo cha pesa na kutoa mikopo kwa wajengao [[nyumba]] au [[wafanyabiashara]] wadogo. Benki hizi hutumia mfumo wa uwekezaji pesa ili kujikuza pamoja na wateja wao. [[Wamarekani]] pia hutumia mbinu hii ambayo wanaiita 401k<ref>{{cite web|title=Patrick Mackaronis talks about 401k investing|url=http://morethanfinances.com/patrick-mackaronis-explains-three-benefits-early-401k-investing/|publisher=More Than Finances}}</ref>.
 
* [[Benki kuu]] ambayo kwa kawaida ni taasisi ya [[serikali]] inayosimamia utoaji wa pesa taslimu na kiasi cha pesa inayopatikana [[Soko|sokoni]] kwa jumla. Inasimamia pia kazi ya benki za biashara na za ushirika.