Wikipedia:Sanduku la mchanga : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Reverted Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu
No edit summary
Tag: Reverted
Mstari 8:
 
Yote hayo yanawezekana iwapo tutajitoa kuwa karibu na Mungu kwa njia ya sala na hapo tutajipatia nguvu ya Kimungu ambayo itatusaidia kuwapenda wenzetu kama Mungu Mwenyewe anavyotupenda.
 
Hata katika vitabu vya dini {biblia au misaafu} tunaona kuwa Yesu alipokuwa duniani alijitahidi kutenda yale ambayo yalimtukuza Mungu na kuwafurahisha wanadamu .Hivyo basi tunatakiwa kuiga mfano wa Yesu alipo kuwa hapa duniani kwa kujitahidi kuyatenda yele tunayopenda kutendewa kwani "auaye kwa upanga atauawa kwa upanga" na "kipimo uwapimiacho wengine ndicho utakacho pimiwa"
 
Asante sana.